Kwa kauli hizi, Je huyu ni mchawi au ?

Kwa kauli hizi, Je huyu ni mchawi au ?

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habari wakuu Leo nmemkuta mdada dukani anaongea na simu nikashtuka mno
Huwa simuamini anavaa bangili za kiganga nyeusi mkono wa kushoto hujitanda shungi

Leo jioni naenda kununua kitu dukani kwa kaka yake yeye ambapo huuza nikasikia akisema tumia UNGO.

Nikaomba nachohitaji uku akiongea kwa kutokujiaamini na aliyekuwa akiongea nae akasema akamuuliza yule mtu kwani bibi yako hakukuachia?

Basi tumia UNGO zunguruka bahati nzuri alikuja mtoto Mimi akanihudumia nikaondoka nikamuacha mtoto nmeshtuka sana

Nb : sikuwa namuamini asilimia mia Mshana Jr
 
Habari wakuu Leo nmemkuta mdada dukani anaongea na simu nikashtuka mno
Huwa simuamini anavaa bangili za kiganga nyeusi mkono wa kushoto hujitanda shungi

Leo jioni naenda kununua kitu dukani kwa kaka yake yeye ambapo huuza nikasikia akisema tumia UNGO.
Nikaomba nachohitaji uku akiongea kwa kutokujiaamini na aliyekuwa akiongea nae akasema akamuuliza yule mtu kwani bibi yako hakukuachia?

Basi tumia UNGO zunguruka bahati nzuri alikuja mtoto Mimi akanihudumia nikaondoka nikamuacha mtoto nmeshtuka sana

Nb : sikuwa namuamini asilimia mia Mshana Jr
Ungo una maana,Nyingi, Labda alimaanisha pepetea mchele au chochote kinachofanana na hicho!
 
hhhahaha kuna nini mkuu
Ndo wanako toa sadaka kupata utajiri kutoka kwa majini ya bahari

Afu bahari ndo Ina utajiri mwingi, maji, chumvi, samaki, majini, urembo wa mawe, inabeba usafi uchafu sasa sijui kwann lakini

Tukutane lango la bahari Leo tumalize kazi
 
Back
Top Bottom