Kwa kauli ya leo ya Mh Rais Magufuli kuna mawimbi yanarindima isikilize kwa makini tone yake!!

Hawatendei haki watumishi wa UMMA yaani ana character za umungu "MTU".
 
Nadharia hiyo ndiyo inawafanya watu wapagawe,pia vinono vilivyopo Bungeni unajipakulia upendavyo.Watanzania wanyonge wawakilishi wao wanaishi kifalme na hakuna wa kuwadhibiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…