Kwa kawaida mtu anatakiwa k.u,nya mara ngapi kwa siku

Kwa kawaida mtu anatakiwa k.u,nya mara ngapi kwa siku

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Ikiwa anazingatia ile ratiba ya chakula ya kitz ya kutwa mara tatu ili asiwe na tatizo la constipation.Doctors na yeyote mjuvi
 
Binadamu tunatofautiana lakini kama unakunywa maji na matunda vizuri hata Mara moja kwa siku inatosha. Angalia size unaweza kupata large size moja asubuhi au medium mbili au small size tatu.
 
Hii pia inategemea na aina ya chakula unachokula mkuu. Kama ni mtu wa kula vyakula vya ngano ujue ukijitahidi sana utakata gogo mara moja tu kwa siku tena kwa mbinde sana.

Ila ukiwa mlaji wa vyakula laini na matunda kwa wingi utakata gogo mara mbili per day tena huku unasoma gazeti lako.
 
Back
Top Bottom