Kwa Kibao hiki cha 'WAAH' chake Mwana Simba Mwenzangu Diamond akimshirikisha Koffi nasema 'Shikamoo' mno tu Kwake

Mzee wangu wewe lingala unaijua vyema kabisa, naamini viunga vyote umekanyaga tena na uhakika kuanzia beni, niania, mambasa , bangedaido, mavivi hadi kisangani kote umefika sasa mimi nilieishia fasi ya uvira tena kwa dakika moja nitaweza kweli kutafsiri?
 
Na nauhakika maniema yote umefika sasa unaleta utata wako tu, hapo ni sawa na unieleze sombe na makako wanaandaa vipi wakati sijui.
 
Umejaliwa kipaji cha kusifia [emoji3][emoji3]
Yaani et mondi anaimba zaid ya walioko mbinguni
Kazi kweli kweli
 
Umejaliwa kipaji cha kusifia [emoji3][emoji3]
Yaani et mondi anaimba zaid ya walioko mbinguni
Kazi kweli kweli

Kionjo cha WAAH , ni sebene laini ambayo kwa mpenda muziki lazima asifie, kama kionjo hichohicho alikisifu Franco toka miaka ya hiyo japo mwasisi wa kionjo hicho ni Henri Bowane wewe ni nani hadi upinge? Au haya basi tunasifia lake matadi ina maji meusi ili uridhike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…