demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Habari wanajamvi na mashabiki wenzangu wa Simba SC.
Kwa nini msimu huu nimejawa zaidi na wasiwasi kuhusu usajili kuliko kawaida. Kilichonihtua hasa ni usajili mpya wa kiungo mkabaji kijana Larry Bwalya. Hivi ni kweli tumemuacha Shaiboub kwa ajili ya kijana asiye na experience kwenye medani za mitanange ya kimataifa?
Napata hata wasi wasi kuamini kwamba tumewapokonya Yanga SC huyu mchezaji. Sidhani kama Yanga SC wangevutiwa na takwimu za huyu mchezaji zaidi na takwimu za Shiboub linapokuja suala la uzoefu wa kimataifa.
Naombeni viongozi wangu wa Simba SC mnijibu, ni kweli tumewapola Yanga huyu mchezaji au mmetuhadaa sisi mashabiki?
Nasikia Yanga SC wako kwenye mazungumzo na Sharafeldin Shaiboub Ali . Kama wakifanikiwa kumsajili roho itaniuma sana. Kwa maana wao kuachana na Tshishimbi na kumchukua Shaiboub ni mafanikio makubwa kikosini kuliko sisi kuachana na Shaiboub kumchukua Larry Bwalya.
Takwimu za mechi za Sharafeldin Shaiboub Ali za kimataifa ukiachana na zile alizocheza akiwa Simba SC.
Takwimu za mechi za Larry Bwalya za kimataifa akiwa Zanaco FC mpaka alipojiunga Power Dynamos fC.
NB: Tunasajili kujiandaa au tunasajili kwa mihemko?
Kwa nini msimu huu nimejawa zaidi na wasiwasi kuhusu usajili kuliko kawaida. Kilichonihtua hasa ni usajili mpya wa kiungo mkabaji kijana Larry Bwalya. Hivi ni kweli tumemuacha Shaiboub kwa ajili ya kijana asiye na experience kwenye medani za mitanange ya kimataifa?
Napata hata wasi wasi kuamini kwamba tumewapokonya Yanga SC huyu mchezaji. Sidhani kama Yanga SC wangevutiwa na takwimu za huyu mchezaji zaidi na takwimu za Shiboub linapokuja suala la uzoefu wa kimataifa.
Naombeni viongozi wangu wa Simba SC mnijibu, ni kweli tumewapola Yanga huyu mchezaji au mmetuhadaa sisi mashabiki?
Nasikia Yanga SC wako kwenye mazungumzo na Sharafeldin Shaiboub Ali . Kama wakifanikiwa kumsajili roho itaniuma sana. Kwa maana wao kuachana na Tshishimbi na kumchukua Shaiboub ni mafanikio makubwa kikosini kuliko sisi kuachana na Shaiboub kumchukua Larry Bwalya.
Takwimu za mechi za Sharafeldin Shaiboub Ali za kimataifa ukiachana na zile alizocheza akiwa Simba SC.
Takwimu za mechi za Larry Bwalya za kimataifa akiwa Zanaco FC mpaka alipojiunga Power Dynamos fC.
NB: Tunasajili kujiandaa au tunasajili kwa mihemko?