Sasa wali qualify vipi kama wanasumbuliwa na mfumo wa kiuchezaji?.Tena mapema kuliko timu yoyote duniani?Mleta thread utakuwa tu na mahaba na Brazil...
Pamoja na kuwa Brazil wana kikosi ambacho sio cha kubeza lakini bado wanasumbuliwa na mfumo wa kiuchezaji, na ubinafsi umewazidi...
World Cup ijayo itakuwa ngumu sana kuna timu nyingi nzuri mf Belgium, France, Croatia, Germany, Mexico
Waapiii,argentina hana ubavu tena.Tatizo lao ni lile lile kama la Brazil,mastaa kibao wasiyoshirikiana kwenye mechi.Timu inamtegemea mchezaji mmoja tu?.France sawa au Jermani.hili kombe asipochukua argentina basi ni france
We mnazi wa Argentina iliyoponea chupuchupu ku qualify,Bado unaamini Argentina ya 2014 ndiyo hii!!?.
This year asiombe akutane tena na Mashine gan/Merceds Benz wataolewa pamoja raisi wao.
Viva Argentina.....
Umemsahau Musa Dembele(Barcelona)KIBOKO YAO FC
Goalkeepers: Alphonse Areola (PSG), Hugo Lloris (Spurs), Steve Mandanda (Marseille)
Defenders: Presnel Kimpembe (PSG), Laurent Koscielny (Arsenal), Djibril Sidibe (Monaco), Samuel Umtiti (Barcelona), Raphael Varane (Real Madrid), Christophe Jallet (Lyon), Lucas Digne (Barcelona), Layvin Kurzawa (PSG)
Midfielders: N'Golo Kante (Chelsea), Blaise Matuidi (Juventus), Paul Pogba (Manchester United), Adrien Rabiot (PSG), Corentin Tolisso (Bayern Munich), Thomas Lemar (Monaco)
Forwards: Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Alexandre Lacazette (Arsenal), Kylian Mbappe (Monaco), Florian Thauvin (Marseille), Nabil Fekir (Lyon), Kingsley Coman (Bayern Munich)
Coach: Didier Deschamps
Mkuu felipe luis ni left back hawezi pangwa na marcelo namba moja..... Pia miranda ni centre half hawezi cheza full back kma ulivyompanga hapo ila all in all kikosi kinatisha ila world cup haingalii majina kabisa.... Unaweza shangaa akatunguliwa hata na katimu kma iceland mpira ni dakika 90 ukiamka vibaya au ukafanya vijikosa kidogo imekula kwakoKikosi kiko Bora Ila nakurekebisha kuhusu Dan's alvez na Marcelo, hao inabidi mmoja awe benchi kutokana na uzee unaowakabili, maana spidi ya vijana ni kubwa mno, pili firmino akae pembeni Coutinoh acheze 11 ,then hapo namba nane apande mwingine Ila mi kikosi changu hiki
Ndo kitacheza fainali na Argentina mwaka huu
GOALKEEPERS
1.Ederson (Manchester City)
DEFENDERS
2.Miranda
3.Marcelo (Real Madrid),
4. Filipe Luiz (Atletico Madrid)
5.Thiago Silva (PSG)
MIDFIELDERS
6.Casemiro (Real Madrid),
7. Firmino
8.Fernandinho (Manchester City),
FORWARDS
9Gabriel Jesus (Manchester City), 10.Neymar Jr (PSG),
10. Philipe coutinho Barcelona
Ni kweli nakumbuka brazil ya 2010 world cup ilikuwa imeshona haswaa ila mechi ya robo fainali free kick mbili tena za dakika ya mwisho ziliwatoa kwenye world cup ilihali walikuwa wametawala mechi na kuongoza kwa goli mojaKikosi kizuri ila mpira kitu kingine aisee. Timu inaweze ikawa nzuri ila makosa madogo kabisa yakaigharimu timu mazima. Au unaweza kuta timu nzuri ukashangaa wanapoteana.
Red card ya Felipe mello iliwacostNi kweli nakumbuka brazil ya 2010 world cup ilikuwa imeshona haswaa ila mechi ya robo fainali free kick mbili tena za dakika ya mwisho ziliwatoa kwenye world cup ilihali walikuwa wametawala mechi na kuongoza kwa goli moja
Ndio mpira ulivo kosa moja unatolewa hata kma una kikosi kikali vipiRed card ya Felipe mello iliwacost
Ndio mpira ulivo kosa moja unatolewa hata kma una kikosi kikali vipi
Waapiii,argentina hana ubavu tena.Tatizo lao ni lile lile kama la Brazil,mastaa kibao wasiyoshirikiana kwenye mechi.Timu inamtegemea mchezaji mmoja tu?.France sawa au Jermani.
Sasa wali qualify vipi kama wanasumbuliwa na mfumo wa kiuchezaji?.Tena mapema kuliko timu yoyote duniani?
HahaHahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na usirudi humu
Kumbe heeSafari hii hawa wata gongwa 8-0 na injini za ujerumani.