Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana
I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!
He is not a kid and I am not his mother!
But he is your husband! Na hilo ndilo lililo kubwa zaidi!Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana
I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!
He is not a kid and I am not his mother!
nilichogundua ni kuwa niko fair sana kwenye ndoa lemme keep it up for love and respectUsimsumbue shemeji yangu kwa nia tu ya kujionyesha wewe kidume. Natumai shem atakuwa atakuwa anakupenda sana na kukurespect pia. Kazi kusaidiana, sio wewe ufanye zote au umtupie zote shemeji akufanyie.
Nimekupa Thanks, lakini hapo kwenye red angalia wakija wenyewe humu!!!!Well. Inategemea unaishi ktk mazingira gani. Hivi ni vitu vidogo sana ndani ya nyumba na sio issue sana kwa mtizamo wangu. Kama house maid yupo hivyo viatu, kupiga pasi nk lazima mama afanye?
Mume ndie mwezeshaji wa yote kuanzia chakula, ada za watoto , matibabu , na gharama za familia kwa ujumla .Msaada anaoupata kwa mama na maid wake ni appreciation kwa jasho loote analotoka kuwaweka walivyo.
Sasa kama baba nae ataanza kuchemsha maji ya kuogea jikoni , apige pasi, adeki nyumba n.k what will be the the woman responsibility in the family?
Hayo mambo mengine ni ya kuiga tu na ambayo nao yamewashinda. Too theoretical to be precise. A good wife won't let the husband to do house chores. A just married couple may think that is a sign of love, in my opinion it is rather the opposite .
Kwanza punguza jazba, pili, hakuna mwanume anayependa kufanyiwa kila kitu!...at least not one i know off!Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana
I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!
He is not a kid and I am not his mother!
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:
1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.
MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.
Life continues.......!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!
Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:
1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.
MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.
Life continues.......!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!
Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!
Duh! Naona una hisia kali kweli kweli, hata chembe ya mapenzi na huruma kwa huyo mwandani wako!!?? What if yeye akiamua kukusaidia kazi zako including hivyo unavyodhani vinamdhalilisha kijinsia while he is not your houseboy?Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana
I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!
He is not a kid and I am not his mother!
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana
I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!
He is not a kid and I am not his mother!
[/COLOR]
Kwenye kitchen party zenu uwa amuambiwi kwamba Mume wako ni first born wako?
Kila mtu afanye kinachompendeza moyoni saa nyingine mwanamke unajitahidi kwa hali na mali kumfanyia vyote lakini appreciation ni zero.
Kila mtu afanye kinachompendeza moyoni saa nyingine mwanamke unajitahidi kwa hali na mali kumfanyia vyote lakini appreciation ni zero.