Kwa kinachoendelea Mahakamani kwenye kesi ya Mbowe, imedhihirika CHADEMA walikuwa sahihi kutokwenda Mahakamani baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020

Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Mtu aliyejirekodi akibaka kwa kumtegemea jiwe kwanini asifungwe ?
 
Kwa taasisi za umma tulizobaki nazo walau unaweza kuiamini by 40% ni hospitali tu. The rest zote kwishneee...
Nakumbuka Magufuli alianza kuingiza siasa na jeshini mchana kweupe, kuna siku alipokea wanasiasa waliohama upinzani kwenye kuunga juhudi kwenye kamisheni ya jeshi na CDF alikuwepo, tena akiwa anatabasamu!
 
Nakumbuka Magufuli alianza kuingiza siasa na jeshini mchana kweupe, kuna siku alipokea wanasiasa waliohama upinzani kwenye kuunga juhudi kwenye kamisheni ya jeshi na CDF alikuwepo, tena akiwa anatabasamu!
Yaani yule mtu, angeendelea kuwepo, tungekuwa na hali mbaya sana! Ashukuriwe MUWEZA YOTE, kwa kukizima kile kibatali!
 
WALIOJIINGIZA KWENYE TAALUMA SIO WATU SAHIHI KWA SASA.....WAMEINGIZWA KUHARIBU TASWIRA YA SHERIA NA HAKI......WAMEKUWA WALA NJAMA.....SHERIA HAIKO HIVYO NYIE MAJAJI PANDIKIZI....TOKA ENZI ZA MABABU HAIKUWA NAMNA HIYO......WASTAAFU MAJAJI....MSIKAE KIMYA.....HALI HII IKIDUMISHWA NA WATU WAKIKATA TAMAA NI HATARI
 
Tumekwama
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Hujui kwamba Sabaya anafungwa kwa kuwatukana na kuwadharau baadhi ya vigogo wa jeshi la polisi na hata mawaziri na aliyekuwa makamu wa rais wakati huo pamoja na waziri mkuu? Kosa lake hakujua kwamba JPM angekufa sikumoja na ndio maana alilia kama mtoto. Vinginevyo Sabaya angelikuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati huu.
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Ikitenda haki mahakama moja, haimaanishi na nyingine zimetenda haki kwa hii moja kufanya hivyo..!!! Kila mahakama inajitegemea kwenye utendaji na maamuzi.. Maamuzi ya kesi moja yanaweza yasifanane na nyingine..!! Na ndiyo maana wengine huwa wanahukumiwa hivi, lakini wakikata rufaa hukumu hubadirika..
 
Tumeshawazoea nyinyi nyumbu! Alipofungwa Sabaya mkasema Mahakama imetenda haki ila kwa huyu Gaidi mkubwa mnabwabwaja tuuu. Tulie dawa iwaingie sawasawa ili mpone ugonjwa wenu wa kinyumbu!!
Twambieni nani aliingia kwenye stoo/masijala ya Mahakama na kuiba ile nyaraka na kuwapelekea washitaki wa Mbowe? Funguo za hicho chumba walipata wapi? Kila mahakama ina mkubwa wake. Awajibike kwa kosa hilo la wizi wa Nyaraka na kuwapelekea polisi wanaomshitaki Mbowe, eti alitaka kumdhuru Sabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…