Kwa kipindi cha wiki tatu tu, Watazania wamepoteza watu kumi mashuhuri. Poleni sana bandugu

Kwa kipindi cha wiki tatu tu, Watazania wamepoteza watu kumi mashuhuri. Poleni sana bandugu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Pamoja na matani yetu humu ila hili la misiba jameni hapana, poleni sana kwa kweli, kitumbua cha dunia kimeingia mchanga, hao kumi wametajwa tu kwa sababu ni mashuhuri ila walalahoi wengi wanazikwa kimya kimya.

Kuna mara moja moja huwa najikuta nikitamani kwamba rais wetu Uhuru angechukua hatua kama za rais Magufuli za kujiaminisha aminisha kwamba hamna corona, mara maombi yamefanya kazi mara hiki mara kile ilmradi kutupea matumaini na kupuuza hili janga, ila najikuta nikikumbuka hili ni janga la kisayansi na lazima likabiliwe kisayansi maana kwamba upimaji, ukaguzi na tahadhari lazima ziendelee kuwepo, la sivyo kirusi kinazagaa tu na wala hakimjui nani wala nani, iwe una hela au mlalahoi.

Nimesoma taarifa za Dkt. Philipp Mpango anavyohadithia alivyopelekwa kwenye kituo cha afya huku akipumulia mashini ya oxygen, sasa waza walalahoi ngapi wana uwezo huo wa kufungashwa kwenye mashini.

Matajiri na viongozi wengi Tz lazima tayari wameshaanza kutafuta chanjo kimya kimya huku wakitolea matamko ya kuikatalia mbali kila wakihojiwa hadharani, muhimu sana walalahoi wakaanza kuchukua tahadhari na kufahamu hiki kitu kipo na hamna wa kukulinda ila hatua na jitihada zako mwenyewe.

===============

The death of former Bank of Tanzania (BoT) Governor, Prof Benno Ndulu, brings the total number of prominent Tanzanians who have died during the past three weeks to ten.

Prof Ndulu died at dawn yesterday while receiving treatment at the Hubert Kairuki Hospital in Dar es Salaam.

Details about the cause of his death were scanty but close relatives say he had been unwell for weeks before he was admitted ten days ago.

Ndulu pic

Former Bank of Tanzania Governor, Prof Benno Ndulu

Prof Ndulu’s death comes just two days after Tanzania lost its former Finance and Planning permanent secretary, Dr Servacius Likwelile.

The two had some issues in common. Apart from their economics background, while Dr Likwelile once served as Treasury PS, Prof Ndulu served as BoT Governor for ten years from 2008.

 
Afadhali hata wewe una data sisi hata hatujui namba ya waliokufa kwa COVID. Maana wakati dunia inahangaika kupambana na COVID sisi maombi yalituepusha na janga hilo. Ingawa tulipata maradhi ya changamoto za upumuaji na pneumonia.
 
Afadhali hata wewe una data sisi hata hatujui namba ya waliokufa kwa COVID. Maana wakati dunia inahangaika kupambana na COVID sisi maombi yalituepusha na janga hilo. Ingawa tulipata maradhi ya matatizo ya upumuaji na pneumonia.
Hamna mwenye data za Tanzania, hata WHO imebembeleza sana muachie data ila dah! nyie ndio mfupa uliomshinda fisi, yaani mkiamua kukaidi inakua huo ndio mwendo, hata kwa wasomi wote kila mmoja yupo kwenye gwaride anasklizia maagizo ya mkulu akama atasema ipo au haipo au inakuja au ilishakuja au nikama imekuja.

Marais wa dunia wote wanatamani sana wawe na raia kama Watanzania, kwamba rais akitoa matamko basi, kila mmoja huko huko, hamna wa kuhoji. Akisema leo UKIMWI umeshindwa kwa maombi haupo Tanzania, yaani hapo ghafla mnatia vibeiriti condoms zote na kuanza kufurahia tunda mazima mazima.
 
Hamna mwenye data za Tanzania, hata WHO imebembeleza sana muachie data ila dah! nyie ndio mfupa uliomshinda fisi, yaani mkiamua kukaidi inakua huo ndio mwendo, hata kwa wasomi wote kila mmoja yupo kwenye gwaride anasklizia maagizo ya mkulu akama atasema ipo au haipo au inakuja au ilishakuja au nikama imekuja.

Marais wa dunia wote wanatamani sana wawe na raia kama Watanzania, kwamba rais akitoa matamko basi, kila mmoja huko huko, hamna wa kuhoji. Akisema leo UKIMWI umeshindwa kwa maombi haupo Tanzania, yaani hapo ghafla mnatia vibeiriti condoms zote na kuanza kufurahia tunda mazima mazima.
Sisi ni Waafrika hata Kinjekitile Ngwale hajui idadi ya wanajeshi wake waliokufa baada ya kuwapa kikombe cha dawa na kuwaambia risasi za Mzungu zitageuka maji ukishakunywa dawa.
 
Hamna mwenye data za Tanzania, hata WHO imebembeleza sana muachie data ila dah! nyie ndio mfupa uliomshinda fisi, yaani mkiamua kukaidi inakua huo ndio mwendo, hata kwa wasomi wote kila mmoja yupo kwenye gwaride anasklizia maagizo ya mkulu akama atasema ipo au haipo au inakuja au ilishakuja au nikama imekuja.

Marais wa dunia wote wanatamani sana wawe na raia kama Watanzania, kwamba rais akitoa matamko basi, kila mmoja huko huko, hamna wa kuhoji. Akisema leo UKIMWI umeshindwa kwa maombi haupo Tanzania, yaani hapo ghafla mnatia vibeiriti condoms zote na kuanza kufurahia tunda mazima mazima.
Sisi hatuhoji??

Kenyans always talk or look down upon Tanzanians just to boost their inferiority.

If we don't question or have a full control of our affairs, how and why is Tanzania way less corrupt than Kenya?

If you guys question your government, why are the Chinese taking none technical jobs at your SGR stations, such as: ticketing - in a country with a massive unemployment?

If you guys question your government, why is the Kikuyu tribe domineering the rest of you since independence?

Why is Kenyatta crime-family still owning very big pieces of land acquired from land grabbing episode orchestrated by Jomo Kenyatta?

The fact is, you don't question anything. You are all silly donkeys, eating grass, shit and sleep in your cabins with other donkeys, goats and pigs.
 
Sisi hatuhoji??

Kenyans always talk or look down upon Tanzanians just to boost their inferiority.

If we don't question or have a full control of our affairs, how and why is Tanzania way less corrupt than Kenya?

If you guys question your government, why are the Chinese taking none technical jobs at your SGR stations, such as: ticketing - in a country with a massive unemployment?

If you guys question your government, why is the Kikuyu tribe domineering the rest of you since independence?

Why is Kenyatta crime-family still owning very big pieces of land acquired from land grabbing episode orchestrated by Jomo Kenyatta?

The fact is, you don't question anything. You are all silly donkeys, eating grass, shit and sleep in your cabins with other donkeys, goats and pigs.

Teell her brother, teell her brother. (in Nigerian English tone) (Teell = tell)
 
Pamoja na matani yetu humu ila hili la misiba jameni hapana, poleni sana kwa kweli, kitumbua cha dunia kimeingia mchanga, hao kumi wametajwa tu kwa sababu ni mashuhuri ila walalahoi wengi wanazikwa kimya kimya.

Kuna mara moja moja huwa najikuta nikitamani kwamba rais wetu Uhuru angechukua hatua kama za rais Magufuli za kujiaminisha aminisha kwamba hamna corona, mara maombi yamefanya kazi mara hiki mara kile ilmradi kutupea matumaini na kupuuza hili janga, ila najikuta nikikumbuka hili ni janga la kisayansi na lazima likabiliwe kisayansi maana kwamba upimaji, ukaguzi na tahadhari lazima ziendelee kuwepo, la sivyo kirusi kinazagaa tu na wala hakimjui nani wala nani, iwe una hela au mlalahoi.

Nimesoma taarifa za Dkt. Philipp Mpango anavyohadithia alivyopelekwa kwenye kituo cha afya huku akipumulia mashini ya oxygen, sasa waza walalahoi ngapi wana uwezo huo wa kufungashwa kwenye mashini.

Matajiri na viongozi wengi Tz lazima tayari wameshaanza kutafuta chanjo kimya kimya huku wakitolea matamko ya kuikatalia mbali kila wakihojiwa hadharani, muhimu sana walalahoi wakaanza kuchukua tahadhari na kufahamu hiki kitu kipo na hamna wa kukulinda ila hatua na jitihada zako mwenyewe.

===============

The death of former Bank of Tanzania (BoT) Governor, Prof Benno Ndulu, brings the total number of prominent Tanzanians who have died during the past three weeks to ten.

Prof Ndulu died at dawn yesterday while receiving treatment at the Hubert Kairuki Hospital in Dar es Salaam.

Details about the cause of his death were scanty but close relatives say he had been unwell for weeks before he was admitted ten days ago.

Ndulu pic

Former Bank of Tanzania Governor, Prof Benno Ndulu

Prof Ndulu’s death comes just two days after Tanzania lost its former Finance and Planning permanent secretary, Dr Servacius Likwelile.

The two had some issues in common. Apart from their economics background, while Dr Likwelile once served as Treasury PS, Prof Ndulu served as BoT Governor for ten years from 2008.

Kenya wangapi wamefariki kwa korona?
 
Ni kweli uliyosema...
Ila mambo yetu ungetuachia wenyewe..
 
huwa unakosa akili hata kwenye mambo ya msingi kabisa.

shida ni utapiamlo au kunusa gundi???
tupo msibani tunaomboleza watu kumi mashuhuri waliofariki kupitia upungufu wa kupumua wewe unaleta hasira zako ni kama uko kwenye hedhi. grow up kid
 
Ni kweli uliyosema...
Ila mambo yetu ungetuachia wenyewe..
Mkuu, hata wewe pia unakubaliana na kauli hii >>>
Marais wa dunia wote wanatamani sana wawe na raia kama Watanzania, kwamba rais akitoa matamko basi, kila mmoja huko huko, hamna wa kuhoji. Akisema leo UKIMWI umeshindwa kwa maombi haupo Tanzania, yaani hapo ghafla mnatia vibeiriti condoms zote na kuanza kufurahia tunda mazima mazima.
 
Sisi hatuhoji??

Kenyans always talk or look down upon Tanzanians just to boost their inferiority.

If we don't question or have a full control of our affairs, how and why is Tanzania way less corrupt than Kenya?

If you guys question your government, why are the Chinese taking none technical jobs at your SGR stations, such as: ticketing - in a country with a massive unemployment?

If you guys question your government, why is the Kikuyu tribe domineering the rest of you since independence?

Why is Kenyatta crime-family still owning very big pieces of land acquired from land grabbing episode orchestrated by Jomo Kenyatta?

The fact is, you don't question anything. You are all silly donkeys, eating grass, shit and sleep in your cabins with other donkeys, goats and pigs.
Your scientist president told you coroner is in goats and papaya.....you believed him

He told you that there was no corona in Tanzania and all you believed that drivel.

Your president told you that your SGR is directly and fully funded by tax revenue.....all you idiots believed him.

One party has ruled tanzania since Independence with mediocre results at best and yet you people are scared of changing it

How many natural resources do you guys have? And yet you're still poor after half a century of CCM rule.

The worst thing about your little rant is that the whole CCM apparatus survives on lying to you and scaring you into submission and like sheep all of you go along with it blindly.

It's in your DNA not only to be stupid, gullible but also afraid. If you doubt it ask your fore fathers that believed and drunk kinjeketiles magic water.....oops sorry they all got slaughtered like sheep and died just like the people that died because believed there's no corona in Tanzania and didn't protect themselves
 
Your scientist president told you coroner is in goats and papaya.....you believed him

He told you that there was no corona in Tanzania and all you believed that drivel.

Your president told you that your SGR is directly and fully funded by tax revenue.....all you idiots believed him.

One party has ruled tanzania since Independence with mediocre results at best and yet you people are scared of changing it

How many natural resources do you guys have? And yet you're still poor after half a century of CCM rule.

The worst thing about your little rant is that the whole CCM apparatus survives on lying to you and scaring you into submission and like sheep all of you go along with it blindly.

It's in your DNA not only to be stupid, gullible but also afraid. If you doubt it ask your fore fathers that believed and drunk kinjeketiles magic water.....oops sorry they all got slaughtered like sheep and died just like the people that died because believed there's no corona in Tanzania and didn't protect themselves

Wow! You nailed it.....
Brutally honest.
 
Back
Top Bottom