GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakenya wanasema " Timu ya Tanzania ya Yanga SC imebanduliwa mashindanoni "
Watanzania wanasema " Timu ya Tanzania ya Yanga SC imefungwa katika mashindano "
Nani ameongea Kiswahili ' fasaha ' kabisa hapo?
Nawasilisha.
Watanzania wanasema " Timu ya Tanzania ya Yanga SC imefungwa katika mashindano "
Nani ameongea Kiswahili ' fasaha ' kabisa hapo?
Nawasilisha.