Kwa kozi ya DIP in Fish Processing, Quality Assurance and Marketing. Je, ni sekta zipi ataweza fit ukiachana na sekta ya fisheries?

Kwa kozi ya DIP in Fish Processing, Quality Assurance and Marketing. Je, ni sekta zipi ataweza fit ukiachana na sekta ya fisheries?

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
Habari wakuu napenda ulizia ni sekta ipi inayofaa kwa graduate level diploma akiwa na cheti hiko hapo juu,, kwa kazi kuajiriwa ukiachana na fisheries.....au viwanda vipi vinafaa ,,,

Yupo Dar es Salaam

Asante
 
Back
Top Bottom