Kwa kumroga Phiri asifunge tena wamefanikiwa, sasa wanakamilisha la Chama kuumizwa ili Simba SC idhoofike

Nadhani jamaa hajafika Zambia huyu.
 
Ndugu watanzania naombeni muamini kuwa waziri mkuu kafa kwa ajali ( TUAMINI)
 
Kama hamna habari za kuandika muwe mnasoma na kuondoka, watu karne hii eti bado mnaabudu tu hayo mambo ya kipumbavu.

Kwa nini huo uchawi usitumike kuandoa umaskini katika nchi hii na badala yake eti utumike tu kwenye mpira kwa Simba na Yanga.

Akili hizi hizi za kijinga ndio hata ccm wanatumia kwa kutumia pesa nyingi kukimbiza mwenge kwa imani kwamba inadumaza akili za watanzania wasione ujinga wanaowafanyia.

Kwa fikra hizi Afrika itabakia kuwa bara tajiri lakini lenye watu fukara wa kutupwa wanaoamini kwamba maendeleo hayataletwa kwa mikakati thabiti na uongozi wenye maono sahihi bali yatakuja kwa miujiza na mazingaombwe kama hayo yanayosemwa na baadhi ya wajinga fulani humu.
 
mkuu kwa profile yako ndani ya JF hukupaswa kuandika hiki ulichoandika.
 
NGANA ISHAINGIA KU-DAMU,maandiko ya ovyo sasa yanatamalaki.
 
Kwan umri wake ni miaka mingapi???tuanzie hapa kwanza
 
Dr. GENTAMYCINE tuwe na kikosi kipana, tuache kumtegemea Chama.

 
Ebu mtupe maelekezo na pakumpata bhana tupindue upepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…