inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa hali ya siasa ilivyo kwa sasa CHADEMA wameshindwa kupata ajenda ya kuwafanya watanzania washawishike kuwa wao ni mbadala na hii ni kutokana na ukweli kwamba watanzania saa hizi wamepitia tawala za aina zote.
Zama za Kikwete (Mwanadiplomasia aliyetukuka Mungu ampe maisha marefu) CHADEMA walikosoa sana Serikali na kusema ni legelege,imejaa wapigaji,Rais anachekachkea.
Bahati mbaya au nzuri tukapata Rais ambaye alikuwa anaogelea kwenye wimbo uliopigwa na CHADEMA miaka nenda miaka rudi. Cha moto tulichokiona kila mtu ni shahidi.
Kwa sasa watanzania hakuna unachoweza kuwadanganya. Wameona kila kitu- they have seen it all.
Kwa kujua hilo CHADEMA wamekuja na ajenda ya katiba mpya maana hawana sera yoyote mpya.
Ni wakati wa kuwapuuza CHADEMA mazima.
Zama za Kikwete (Mwanadiplomasia aliyetukuka Mungu ampe maisha marefu) CHADEMA walikosoa sana Serikali na kusema ni legelege,imejaa wapigaji,Rais anachekachkea.
Bahati mbaya au nzuri tukapata Rais ambaye alikuwa anaogelea kwenye wimbo uliopigwa na CHADEMA miaka nenda miaka rudi. Cha moto tulichokiona kila mtu ni shahidi.
Kwa sasa watanzania hakuna unachoweza kuwadanganya. Wameona kila kitu- they have seen it all.
Kwa kujua hilo CHADEMA wamekuja na ajenda ya katiba mpya maana hawana sera yoyote mpya.
Ni wakati wa kuwapuuza CHADEMA mazima.