Kwa kuwa Tanzania inadai imefanikiwa kudhibiti virusi vya Korona, nashauri isipewe misaada ya kupambana na Korona

Kwa kuwa Tanzania inadai imefanikiwa kudhibiti virusi vya Korona, nashauri isipewe misaada ya kupambana na Korona

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Kwa kuwa tayari Tanzania imeudhihirisha ulimwengu kuwa tayari imeshinda Vita ya ugonjwa wa Korona na Hadi sasa in wagonjwa wasiofika hata 20 kwa nchi nzima, nazishauri nchi za magharibi ambazo bado zinatoa misaada kwa serikali ya Tanzania yenye lengo la kupambana na virusi vya Korona, nchi hizo zisitishe misaada hiyo Mara moja, badala yake misaada hiyo ielekezwe kwenye nchi ambazo bado zina changamoto ya kuenea kwa virusi vya Korona.

Nchi hizo Ni Kama vile Kenya, Uganda, South Africa n.k.

Itakuwa Ni uharibifu wa pesa kuipa pesa nchi ambayo tayari imetanaibasha kuwa kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa haina ongezeko la mgonjwa wa Korona wakati zipo nchi ambazo idadi ya waathirika imeongezeka Mara dufu ndani ya kipind I kifupi.

Ni vyema pesa hiyo ikaelekezwa sehemu ambazo zinathirika zaidi ili kuokoa maisha ya Watu.

Mungu ibariki Afrika na dunia kwa ujumla.
 
Waliopewa msaada ni hapo kenya,Uganda na Rwanda kwa E. Africa

Sisi Tanzania tulipambana kivyetu hadi corona inaisha
 
Waliopewa msaada ni hapo kenya
Fuatilia vizuri. Ni hivi karibuni tu Tanzania imepokea misaada ya madolari ya kupambana na korona kutoka nchi zisizopungua nne. Kwa msaada zaidi tafuta speech aliyoitoa Kabudi mbele ya Mheshimiwa Rais
 
Corona ipo na inaua,chukua tahadhari,nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka.
 
Pesa zinahitajika sana maana miti inapungua sana tumekata miti kwaajri ya kujifukiza ata hivyo pesa za misaada nyingi tunazitumia kwenye miradi mingi ya serkali mfano pale singida tumeweka taa za kuongoza magari nk.
 
Kwa kuwa tayari Tanzania imeudhihirisha ulimwengu kuwa tayari imeshinda Vita ya ugonjwa wa Korona na Hadi sasa in wagonjwa wasiofika hata 20 kwa nchi nzima, nazishauri nchi za magharibi ambazo bado zinatoa misaada kwa serikali ya Tanzania yenye lengo la kupambana na virusi vya Korona, nchi hizo zisitishe misaada hiyo Mara moja, badala yake misaada hiyo ielekezwe kwenye nchi ambazo bado zina changamoto ya kuenea kwa virusi vya Korona.

Nchi hizo Ni Kama vile Kenya, Uganda, South Africa n.k.

Itakuwa Ni uharibifu wa pesa kuipa pesa nchi ambayo tayari imetanaibasha kuwa kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa haina ongezeko la mgonjwa wa Korona wakati zipo nchi ambazo idadi ya waathirika imeongezeka Mara dufu ndani ya kipind I kifupi.

Ni vyema pesa hiyo ikaelekezwa sehemu ambazo zinathirika zaidi ili kuokoa maisha ya Watu.

Mungu ibariki Afrika na dunia kwa ujumla.
Mkuu Mtarban, hizo fedha tunazihitaji sana kama nchi, hata kama dereva ni mbovu bado usalama wa abiria ni muhimu sana.
 
Mkuu kweli wewe mtarban 😊😊
Sasa wameweza kuthibit si ndio kwa kutumia hivyo vifaa vya kujilinda, visipokuepo kabisa hatari si ndio itarudi palepale
 
Kwa kuwa tayari Tanzania imeudhihirisha ulimwengu kuwa tayari imeshinda Vita ya ugonjwa wa Korona na Hadi sasa in wagonjwa wasiofika hata 20 kwa nchi nzima, nazishauri nchi za magharibi ambazo bado zinatoa misaada kwa serikali ya Tanzania yenye lengo la kupambana na virusi vya Korona, nchi hizo zisitishe misaada hiyo Mara moja, badala yake misaada hiyo ielekezwe kwenye nchi ambazo bado zina changamoto ya kuenea kwa virusi vya Korona.

Nchi hizo Ni Kama vile Kenya, Uganda, South Africa n.k.

Itakuwa Ni uharibifu wa pesa kuipa pesa nchi ambayo tayari imetanaibasha kuwa kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa haina ongezeko la mgonjwa wa Korona wakati zipo nchi ambazo idadi ya waathirika imeongezeka Mara dufu ndani ya kipind I kifupi.

Ni vyema pesa hiyo ikaelekezwa sehemu ambazo zinathirika zaidi ili kuokoa maisha ya Watu.

Mungu ibariki Afrika na dunia kwa ujumla.
Hawa ndio wale wale wasiolewa msimamo wa Tanzania on this issue. Tanzania tangu mwazo ilizikataa pesa hizo na badala yake tulipendekeza nchi zenye maambukizi (wakati huo) ZISAMEHEWE MADENI YAKE AU ZIPEWE SOME GRACE PERIOD katika ulipaji wa madeni ili kupata muda wa kujizatiti dhidi ya COVID - 19. That was and still is Tanzania's stand on the issue. Sijui nimeeleweka?
 
Hawa ndio wale wale wasiolewa msimamo wa Tanzania on this issue. Tanzania tangu mwazo ilizikataa pesa hizo na badala yake tulipendekeza nchi zenye maambukizi (wakati huo) ZISAMEHEWE MADENI YAKE AU ZIPEWE SOME GRACE PERIOD katika ulipaji wa madeni ili kupata muda wa kujizatiti dhidi ya COVID - 19. That was and still is Tanzania's stand on the issue. Sijui nimeeleweka?
Ukiomba kusamahewa Deni na mwingine akaomba kupewa msaada wa fedha hamna tofauti kwa sababu wote mnaomba kusaidia kifedha
 
Back
Top Bottom