Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Bei gani? Unaweza kuniunganisha na hiyo devicesUkikua kibiashara(not now) tuwasiliane, kuna portable device ukiwa nayo you'll make money. Inapima more than 100 diseases from gastrointestinal, hormonal to thyroid.. etc
Naweza kukuunganisha mkuu.Bei gani? Unaweza kuniunganisha na hiyo devices
Hapa ni muhimu kuelewa kwanza:Wakuu nataka nifungue maabara ndogo.
Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!
Wataalam wa Afya nawaomba hapa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fungua maabara ya kukopi nyimbo na movies/series si inaitwaga maabara pia?
Pm yangu inazingua mkuu nakupataje?Naweza kukuunganisha mkuu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Bora ukalewe tu
Hawa ndiyo wanaua watu kwa sababu ya fedha.Sasa hiyo ni maabara au kichekeshoo
Upo mkoa gani? Kama no Dar nitakupa location uende mwenyewe.Pm yangu inazingua mkuu nakupataje?
Kile kimashine unashika mkono?Ukikua kibiashara(not now) tuwasiliane, kuna portable device ukiwa nayo you'll make money. Inapima more than 100 diseases from gastrointestinal, hormonal to thyroid.. etc
Ipo Tanga mkuu!Upo mkoa gani? Kama no Dar nitakupa location uende mwenyewe.
Okay, nitakucheki na info zote utapata.N
Ipo Tanga mkuu!
ππ»ππ»ππ»Okay, nitakucheki na info zote utapata.