Kiongozi mashine aliyotumia mariam sio hizi ninazouza mimiMariam alinunua haka kadude kakifulia chup, mfuo mmoja tu motor ikaungua.
Nikweli mkuu, na pia chup za Mariam zilikua si haba shekh...😊Kiongozi mashine aliyotumia mariam sio hizi ninazouza mimi
Hizo zipoje, sabuni gani zinatumia?Kiongozi mashine aliyotumia mariam sio hizi ninazouza mimi
Ukaona analeta uvivu wa kufuaKunasiku wife alikaleta home, akawa ananielezea mie nikajifanya sijawahi kukaona (kumbe nilisha kaona kwa Mariam)....
Alipo kaweka tu bafuni, nika kavunjilia mbali...sitaki vitu vya kijinga nyumbani kwangu mimi...☹️
Hiyo si inafua chupi tu? Au chupi za sikuhizi hazitakati wa mikono?Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4
Mtu yoyote anaweza ku afford
Bei ni tsh 120,000 tu.
Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana
Kwa 0772835536.
NB: mikoani pia tunatuma
Karibuni sana
Ndo tatzo vitu vya kichina vya bei ndogoMariam alinunua haka kadude kakufulia chup, mfuo mmoja tu motor ikaungua.