Kwa laki tatu naweza kufanya biashara gani?

Fungua mgahawa wa chakula, hakikisha asubuhi uwe na supu ya mbuzi ama kondoo na chapati.

Ajiri wadada wawili kama msaada hapo ofisini kwako. Nakutakia mafanikio mema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…