Barnaba Fumbo Member Joined Nov 17, 2023 Posts 15 Reaction score 27 Dec 20, 2023 #1 Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya?
Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,058 Reaction score 14,382 Dec 20, 2023 #2 Uza Mahindi, au chips, au kuku. KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Alez von lumor JF-Expert Member Joined Nov 4, 2023 Posts 516 Reaction score 1,474 Dec 20, 2023 #3 Barnaba Fumbo said: Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya? Click to expand... Laki 3 ama laki 8?
Barnaba Fumbo said: Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya? Click to expand... Laki 3 ama laki 8?
EMMYGUY JF-Expert Member Joined Aug 6, 2015 Posts 11,099 Reaction score 25,347 Dec 20, 2023 #4 Fungua mgahawa wa chakula, hakikisha asubuhi uwe na supu ya mbuzi ama kondoo na chapati. Ajiri wadada wawili kama msaada hapo ofisini kwako. Nakutakia mafanikio mema mkuu.
Fungua mgahawa wa chakula, hakikisha asubuhi uwe na supu ya mbuzi ama kondoo na chapati. Ajiri wadada wawili kama msaada hapo ofisini kwako. Nakutakia mafanikio mema mkuu.
Barnaba Fumbo Member Joined Nov 17, 2023 Posts 15 Reaction score 27 Dec 21, 2023 Thread starter #5 Laki nane
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Dec 21, 2023 #6 Upo wapi na unataka kufanyia wapi biashara?