Kwa lawama anazopewa Hayati Magufuli na Antony Diallo wa Sahara Media ni wazi CCM ya 2015 - 2021 ina Dhambi za Dhuluma

Umemjibu kwa jinsi anavyostahili
 
Umemjibu kwa jinsi anavyostahili
Mkuu nimewasilisha 'Mawaidha' ya Tajiri wa Sahara Media na Mwenyekiti wa CCM Mkoani Mwanza Antony Dialo aliyotoka Kuyasema muda si mrefu Star Tv katika Mahojiano yake je, tatizo la GENTAMYCINE lililokukwaza ni nini? Nasubiri mrejesho wako upesi.

Cc: masaka kwetu
 
Soma kifungu chako cha pili kutoka kifungu cha mwisho ndo utajuwa ni wapi ulipoingiza ushabiki . Pia ilibidi utuambie antony dialo ni nani , na aliwahi kuwa nani ktkt nchi hii, utuambie ktk kazi zake ktkt nchi hii ni scandal gani mbaya au nzuri alizozifanya ktk nchi hii, utuambie ni heshima ipi ktk utendakazi wake ameiyacha ktk nchi hii, alafu ndo utuambie kinachoendelea ktk luninga kwa sasa. Tatizo uliwahi kupost ili uonekane kuwa wewe ndiye wa kwanza! kutupia huu uzi. Pamoja na kuzaraulika kwa pascal kwa sababu ya kutoka kwenye taaluma ya kiuwandishi na kuingia kwenye taaluma ya kiuwandishi maslahi! Lkn huwaga anaumiza kichwa chake sana kwenye kuandaa uzi wake. Hebu jombaa simamia misingi yako Ili uendelee kueshimika kwenye hili jukwaa huru. Ni hayo tu jombaa.
 

Hiyo dharau sorry I mean "zarau" ulichukua takwimu lini kujua idadi na kiwango cha dharau jukwaani?
 
Kunifananisha Mimi GENTAMYCINE na Pascal Mayalla ni sawa na Kumfananisha Zinedine Zidane ( GENTAMYCINE ) na Sekilojo Chambua ( Pascal Mayalla ) Mkuu. Hebu nitake Radhi tafadhali....!!!
 
Jana kuna Waziri kammwaga mwendazake mazima kuhusu daraja jipya la Salender mpaka sasa hivi maswali aliyoniachia sijayamaliza.

Daraja limejengwa kama mapambo ya kupigia picha, kuliko kusolve traffic flow issues. Na watu walipinga sana mpaka cabinet, likalazimishwa. Kwa gharama kubwa sana.

Mimi nili suspect kitu, lakini nilichosikia kimenisikitisha zaidi.
 
Sasa hivi Sahara itakuwa kipenzi cha watanzania hasa baada ya star tv kuanza kuwaruhusu wenye akili kuanza kutema cheche zao kupitia kituo hicho.
 
Antony Dialo ni kweli 2015 Start Tv ilitumika sana kuonesha kampeni za CCM lakini aliingianao mkataba na wakina JK ili kama kustahili malipo ndani ya chama? Au alikuwa anafanya tu kutegemea fadhila gapo baadae?

Hii staili alikuwanayo JK kuwalipa fadhila watu wake mara baada ya uchaguzi, na nakumbuka aliwaibua wengi mpaka wakina Manji na ndiyo maana wakijiona wao ni serikali wakina Kisena mpaka wabapiga mitama mapolisi wakubwa kabisa na bado hawakuwa wanakamatwa.
 
Lakini haikuwa sawa kama akuingia mkataba na CCM akategemea afanye aje kulipwa fadhila ya uwazili yeye ndo mpumbavu! Mambo yakulipa fadhila alikuwanayo JK sio magufuli
 
Mwendazake alikuwa dhulmat sana
 
Kweli hata mimi naona mana mafuta yalipanda bei Sana vocha zilipanda bei Milion ukitoa ulikatwa shilling elf 40 mishahara ili chelewa Sana hospital zilikosa vifaa na madawa magufuli alipo hakika alikua mnyonyaji tumshukuru Mama katupunguzia kodi kwenye bia Anaupiga mwingi Sana
 
Hahaha mashetani kazini...wacha wararuane dadeeeeki
 
Sasa hivi Sahara itakuwa kipenzi cha watanzania hasa baada ya star tv kuanza kuwaruhusu wenye akili kuanza kutema cheche zao kupitia kituo hicho.
Tatizo ni Nyanda na yule jamaa mwingine Mjaluo bado wanafanya vipindi kwa maelekezo toka Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…