Kwa leo TID kafunikwa mbali sana na Hemed PHD 'muuza sura' kwa kila sekta

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa.

sina upendeleo
 
Dah! Sijawahi kusikia nyimbo mpya au hizo video mpya za PHD lakini kwa hadi pale nilipoishia, PHD hajani-impress kabisa kwenye hii fani... nachukulia kama ana-force flan hivi na kwavile ana exposure, kwake inakuwa rahisi! Kama angekuwa ni mtu wa disco version, angekuwa ni bonge la entertainer lakini kwangu mimi, linapokuja suala la vocal, TID ndo vile karuvugwa tu lakini he's too strong kumlinganisha na PHD.
 
Kuwa na adabu Usimfananishe real legend na upcoming asiejielewa, ni Sawa na kumfananisha Ronaldo de Lima na Dan Welbeck
 
Fununu ni phd ameshoot video ya milioni 15

very true.....trust me hiko kichupa kitafanya baadhi ya waliofikiria kwenda kufanya kichupa south wafikirie mara mbili....official release ni tarehe 30 mwezi huu july!...chupa msafiri wa kwetu studio kalitendea haki sana na mkali mwenyewe Phd kakaza saanaaa.....kuna location flani amazing!
 

Upo pappination mkuu?mbona kama una detail sana
 
Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa.

sina upendeleo

Video zake za ukweli,kamfunika TID,kwa audio hapana kwakweli
 
phd baadhi ya audio katulia sana,hebu niambie nyimbo gani umezisikiliza

Kwangu mm nyimbo zake nzuri ni ile ya ninachotaka na alcohol, the rest me naonaga za kawaida sana, c za kush2a kusema uckilize mara mbili mbili
 
Ana yule rafiki yake nae wyt, yan ndio hamna kitu kbsaaaa. Analazimisha mpk inaonekana kbsa ndio maana ht nyimbo wala video zake hazikaag sn zinasahaulika
 
TID angalia hawa jamaa wanavyokuletea dharau.punguza ndumu mwana we si wa kufananishwa na huyu fa-la
 
Hii imekaa poa sana atleast tumebadili upepo kwangu ntaangalia richi mavoko yuko wima sana ila hana bahati

Rich mavoko anajua sana yule kiwango kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…