SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Habari wandugu,
Je kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering (namaanisha Certificate, Diploma au ni lazima iwe Bachelor Degree) mtu anaweza kufanya yafuatayo:-
Je kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering (namaanisha Certificate, Diploma au ni lazima iwe Bachelor Degree) mtu anaweza kufanya yafuatayo:-
- Kufanya Diagnosis, Ku-interpret na ku-analyse data
- Engine swapping
- ECU Remapping
- Electrical system maintainance
- Mechanical maintenance