DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
Magufuli alimbana huyo lugumi
Magufuli hajawahi kudeal nao
Lugumi alianza kutamba enzi za mzee wa msog

Ova
 
Jamaa ni arms dealer aka merchant of death. Vita hazitaisha Africa. Ndiyo maana nikasema anauza silaha kwa majeshi rasmi na....??? Pigia mstari
 
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
Hayati hajawahi kuwa na uhusiàno wa karibu na LUGUMI. Infact kipindi cha Dr JPM huyo dogo alikuwa ameshapotezwa na JPM alikuwa anakwenda kumfilisi.

Huyu Lugumi ni kizazi cha JK na wazee wa Msoga. Lugumi ni miongoni mwa watu waliolewq sana baada ya Dr kufariki.

Intelligence ya JESHI ninaimani nayo sana hii inayojiita TISS ina compromise sana na technology pia inatukwamisha

Intelligence ya sasa imehamia kwenye technology
 
Ndio ipo hivyo ; hata kwenye sheria ya Ununuzi wa Umma….. Jeshi linafanya direct procurement from manufacturer. Na Silaha nyingi zinatoka Soviet Union

Huyo Lugumi ni la agent kadogo sana….kalikokuwa kanapata
Link za Gvt kupitia yule mzee wa mSoga

But hana impact , kinachotia shaka ni anavojisogeza na viongozi wa siasq huku Kagame ni SMART guy san kushinda viongozi wengi wa TZ wanaowaza Rushwa na ngono
 
Obama baba mkenya
Harris (mama muhindi, baba mjamaica).
Collin Power (wazazi wajamica)
Rishi Sunak (wazazi wahindi wa EA)
Kemi (Wazazi wote wa-Nigeria). etc the list goes on.

Sasa unadhani usalama wa hizo nchi wamelala.
Kwenye hizo nchi intelligence ipo very independent na ni separate entity
Hao viongozi hawa impact yoyote kwenye mustakabal wa nchi hizo…. Mifumo ya nchi ilishakuwa imara na haiingililiwi

Sio tanzania ; viongozi wana power kuliko mifumo
 
FaizaFox amekuja kichwani wakati nasoma hapa 🤣
 
Kwenye hizo nchi intelligence ipo very independent na ni separate entity
Hao viongozi hawa impact yoyote kwenye mustakabal wa nchi hizo…. Mifumo ya nchi ilishakuwa imara na haiingililiwi

Sio tanzania ; viongozi wana power kuliko mifumo
I agree

Mfumo wetu uimara unategemea kuna raisi wa aina gani (ndio madhaifu ya katiba yetu).

Kuna wanaopenda utajiri na wazalendo (hapo ndio kwenye changamoto).

Na kiongozi ana influence kundi gani linashinda.
 
Nchi ya kiwaki sana yaani mshona viatu bado anaendelea kuwa msambazaji mkuu wa vifaa vya kijeshi.
Ni vifaa vya jeshi la polisi, dili alipewa na mkwe wake aliyekuwa IGP Said Mwema. JWTZ hawezi sogeza makalio yake
 
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
I think unapotosha historia mkuu; enzi za hayati ndio scandal zake ziliibuliwa na hasa kuhusu ufungaji wa vifaa vya kupimia finger print kwenye vituo vya police, deal/biashara ilifanyika enzi za JK na sio mwendazake. Rejea upya historia yako. Again, binafsi siamini kama Lugumi anaweza kuingia kwenye penzi lingine akiwa kajiachia hivo, mkewe mnajua ni mtoto wa nani?
 
Iman inatusaidiq nin kwenye masilahi ya nchi. Hivi bado kuna watu kama wewe hapa duniani ?
Tuliza mzuka, we unafikiri amerudi vp kipindi Cha mama Ushungi wakati kipindi Cha Magu alikuwa ndani hiyo mwanaharamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…