Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Bunge limepitisha kuwa Wabunge Wastaafu wawe wanalipwa Kshs 100k kila mwezi.
Kumbuka kuwa Kenya ndio Kati ya nchi zinaoongoza Duniani kwa Wabunge wake kulipwa mishahara mikubwa ukilinganisha na Uchumi wake
Pamoja na Wakenya kudai Wana Uhuru wa kuandamana Sana, ila wao ndio wanaokandamizwa zaidi na viongozi wao kuliko nchi yoyote E.
Kumbuka kuwa Kenya ndio Kati ya nchi zinaoongoza Duniani kwa Wabunge wake kulipwa mishahara mikubwa ukilinganisha na Uchumi wake
Pamoja na Wakenya kudai Wana Uhuru wa kuandamana Sana, ila wao ndio wanaokandamizwa zaidi na viongozi wao kuliko nchi yoyote E.
Africa