ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Tujikumbushe nchi zilizoshinda bid ya kuandaa mashindano ya AFCON 2027 ni TANZANIA, KENYA NA UGANDA lakini sisi hapa nyumbani tunaongea sana kuliko vitendo.
Nchi nyingine KENYA NA UGANDA wako site wanajenga na kukarabati lakini sisi tuko busy kuunda kamati za AFCON na kulipana posho tu lakini hakuna kinachoendelea.
Jirani yetu RWANDA hakupata fursa ya kuandaa mashindano lakini Yuko busy anajenga viwanja na kukarabati vya zamani.
Naamini RWANDA ana uhakika TANZANIA tutakalia maneno na mambo ya kamati lakini hatutafanya lolote.
RWANDA ni mjanja anajua ukubwa na umuhimu wa mashindano haya kucheza nchini kwake na laZima atawashawishi CAF kuhamishia mashindano RWANDA badala ya TANZANIA
Natabiri AFCON itafanyika RWANDA, KENYA NA UGANDA
Nchi nyingine KENYA NA UGANDA wako site wanajenga na kukarabati lakini sisi tuko busy kuunda kamati za AFCON na kulipana posho tu lakini hakuna kinachoendelea.
Jirani yetu RWANDA hakupata fursa ya kuandaa mashindano lakini Yuko busy anajenga viwanja na kukarabati vya zamani.
Naamini RWANDA ana uhakika TANZANIA tutakalia maneno na mambo ya kamati lakini hatutafanya lolote.
RWANDA ni mjanja anajua ukubwa na umuhimu wa mashindano haya kucheza nchini kwake na laZima atawashawishi CAF kuhamishia mashindano RWANDA badala ya TANZANIA
Natabiri AFCON itafanyika RWANDA, KENYA NA UGANDA