Kwa mabehewa haya ya SGR Dar mpaka Mwanza ni masaa mangapi?

Hayo ni mabehewa mapya?

Mapya kwa Tanzania? Au mapya kwamba ndio design ya mabehewa ya kisasa?
 
Nijuavyo mimi mabehewa ya treni huvutwa na injini. Hivyo suala la kasi ya treni litategemea uwezo wa injini...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…