Dah, usikute kachanganyikiwa tu na hizo tarehe, so long as uli do bila kinga,uwezakano wa kupata mimba upo. Unaweza kuta kashachanganyikiwa hata hizo tarehe hazikumbuki tena.
Kwani wewe humwamini girl friend wako? Kama unamwamini amini pia uwezakano wa kupata mimba yako upo kwa sababu ulimdo bila kinga.
Alishaenda kupima au anahisi tu?
Kukosa hedhi ni dalili kubwa kuwa ana mimba ila inabidi kupima kuwa na uhakika zaidi.
Kwahizo tarehe haiwezekani, labda kama alijichanga tarehe LD alivyosema.
My take: mara nyingine kama hatujisikii ku do tunadanganya tupo mp kwahiyo usimshutumu gal, inawezekana nae alikudanganya. Kama mwaminifu mzigo wako huo.
Nitaleta pampas na beseni. Sawa eeh!
kila ki2 hesabu so kwa hesabu izo za tarehe nilimuuliza mara tatu mpaka akanionesha kumbukumbu ya tarehe iyo ila wasi wasi wangu ni ye ni anafanya kazi mi niko chuo nilivyorudi toka chuo akawa ananiomba tukutane ila nikawa namkwepa mpaka akaniambia ninamuavoid so kuepuka lawama nikamwambia njoo home akaja na siku iyo 2ka do ila ninamashaka kwa kunihitaji kwa hali na mali wiki moja kabla ndio maana naona kama nauziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwa mahesabu yangu ya haraka hyo mimba haikuhusu kwa sababu hata cycle zote naona zinasema tarehe 6 ni safe day muulize ye cycle yake ni cku ngapi kwanza?na kama ni 28-31 si yako ninavyona bt kama cycle yake inabadilika may b bt mi nakataa c yako,
Siku ya kwanza no condom kweli watoto wa siku hizi mmedata huogopi???
mmmh! Huyo kweli anataka kukuchanganyia madesa.
huyu siyo mtoto ni mtu mzima mwenye kazi yake pia sio mara ya kwanza ku do ila ninachoshangaa kama sio yangu basi aliamua makusudi kufanya ivyo kwa sababu zake binafsi.
madesa mpaka kwenye tendo la ndoa!
Umeshanikoroga kabisa hapo.
Kumbe huwa mndo nae mara kwa mara sasa kinachokushangaza nini?? Ulikuwa unategemea upande mapera uvune maembe?? Hiiyo ngumu mzigo ndo wako hivyo