Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
CHAGUO LANGU, NDOTO YANGU, MOYO WANGU,,,,,,,,,,,ZANZIBARI.......................................TUKAMILISHE MUUNGANOsasa wewe hauko zanzibar unaanza kuhoji hvo........uwe makini bana na masharti ya hiii SREADIIIIIIIIIIIIIIIkwa nini umeamua kwenda znz tu?
kwanza samani please...................... NAPENDA kuoa mtoto wa kinzanzibar, nilikuja huko mwaka huu, nimewapenda sana jamani.......kama uko huko nitafutie tafadhali nipate jiko...unajuaje kama mimi sipo znz?maybe kuuliza kwangu kuna sababu zake maalum