kweli hiki kizazi cha ajabu MWANAUME anashindwa KUTONGOZA? unataka mwanamke akutongoze!!!!! eti ndo kakupenda dah no wonder mpaka ujitangaze yaani mchumba anatafutwa km bidhaa, mwanaume kuulizwa nikusaidie nini eti unakasirika!! mbona keshakurahisishia njia hapo anajua nia yako ni nini anataka kuona how strong you are!! mwanamke anahitaji security mtu atakaye rely on yaani akiwa na wewe asiwe na wasiwasi sasa kaka upewe nini hapo wewe ungekwepo enzi zetu ungeishia kupiga nyeto au kubaka kuku tuu wakati ule lazima utongoze ana kwa ana yaali LIVE sio leo nipe namba ya simu ukifika home eti unapiga unaanza sijui nakuzimia hahaaaa wenzio tushamwagiwa saaana maji visimani huko tushang'atwa saana na mbu usiku tukisubiria totoz, enzi hizo unasotea demu miezi sita, mwaka umo tuu unaimbisha. so mkuu be a man bana gangamaaa usipende kupata vitu ki rahirahisi na vitaondoka vivyo hivyoo kilaiiiniiiiiii