Kwa madada mnaotafuta mahusiano

Usiwe na hasira kaka ndio mungu alivyotuumba, huoni hata faragha tunavuliwa huku tukisema thitaki huku nguo zinadondoka tu. pole kwa yaliyokukuta
 


Nimependa hii comment,,,,,Kabisa mkuu wanaume inabidi tuwe strong zaidi....
 

Safi sana mkuu unajaribu kuwatega wanaruka vihunzi ha ha haaaa, sasa umeamua kuwachana si mchezo....:A S 13:
 
Nyie vijana hamnielewi tu? Enzi hubadilika. Pia mwanamke hawezi niambia eti nikusaidie nini. Labda kama anauza kitu fulani. Au nahitaji anielekezd jambo. Michelle isiwe kama nimekuziba mdomo. We endelea kuchana tu. May be iam learning something my own way
 
. Nilibandika tangazo langu nikaweka na namba. Binti anabip. Baadae unapiga halafu ktk maongezi anasema nikusaidie nini.

una uhakika gani kama huyo aliyebip alikuwa ni mmoja wa aliyeona tangazo lako?
Halafu mnazipunja details cv zenu ndio maana tunawapotezea.
Tunapobandika threads zetu ina maana hatujaridhika na vigezo vyenu na sisi tuna vigezo vyetu.
 
Usiwe na hasira kaka ndio mungu alivyotuumba, huoni hata faragha tunavuliwa huku tukisema thitaki huku nguo zinadondoka tu. pole kwa yaliyokukuta

ha ha ha ha! Gaga umegonga ikulu.
 
ha hah aaaaaaaa!!!!! kaka unahasira hivi tu, kuulizwa usaidiwenini!! je badae itakuwaje?? pole!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…