Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 132
- 64
Jaman wadau polen na majukumu ya siku ya leo wengine wanahitaji kupumzika walau akili itulie,
Kwa muda kama huu wapendwa wakati mmepumzika naomba mnitatulie tatizo hili.
Takriban wiki moja sasa nimekuwa nikisumbuliw na chembemoyo yaan inanifanya kukosa raha kwa sababu nasikia maumivu, naona chakula nilicho kula naona kingine kinabakia sehem panapouma, Madaktari mliopo humu naombeni mnisaidie nitumie dawa gan? Nisaidieni.
Kwa muda kama huu wapendwa wakati mmepumzika naomba mnitatulie tatizo hili.
Takriban wiki moja sasa nimekuwa nikisumbuliw na chembemoyo yaan inanifanya kukosa raha kwa sababu nasikia maumivu, naona chakula nilicho kula naona kingine kinabakia sehem panapouma, Madaktari mliopo humu naombeni mnisaidie nitumie dawa gan? Nisaidieni.
