Pole mkuu majibu ya jamaa hapa chini yatakusaidia.
By
Green gecko
Mkuu, "chembe ya moyo" ni maumivu ya sehemu ya juu ya tumbo (Epigastric pain) hiyo ni dalili ya magonjwa mbali yakiwemo ya kifua, moyo na tumbo. kwa watu wasio na elimu ya kitabibu wamekuwa wakifikiri kwamba ni ugonjwa unaojitegemea lakini sivyo. Ni sawa sawa na mtu anaekwambia kwamba anaumwa "homa" na akaenda kwa waganga wa kienyeji kutibu homa bila kujua ni ugonjwa upi unaleta hiyo homa.
Baadhi ya magonjwa yanayoambatana na chembe ya moyo (epigastric pain) ni haya hapa:
1. Magonjwa ya moyo (myocardial infarction etc.)
2. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers)
Asante mkuu utabidi nimuone doctor