Sasa hapo ungeuliza jukwaa la lugha mpendwa!
Daktari ni kutohoa doctor, kiswahili sahihi ni tabibu (kwa maana anatibu)
Mganga nadhani anaganga, ila sijui tafauti
... Hakuna tofauti kubwa katika hali ya kawaida,lakini kwa watumishi wa afya wenyewe hii inaonyesha grade ya mtu:
Kwa mfano kuna...
>>>daktari bingwa: huyu ni specialist.
>>>daktari: huyu ni lazima awe na degree ya chuo kikuu moja au zaidi ya Medicine...kidhungu anaitwa Medical Officer [M.O].
>>>daktari msaidizi au Assistant
Medical Officer [AMO]... Huyu anakuwa na Advance Diploma in Medicine.
>Mganga au Clinical Officer [C.O]... Huyu ana Ordinary Diploma ya Medicine.
>>> Mganga Msaidizi,Assistant Clinical Officer[ACO]... Huyu kitaaluma anakuwa amesomea cheti cha medicine.
.... Katika Makundi yote haya wanatofautiana kimajukumu na kiutalaamu. Ingawa M.O na A.M.O [madaktari] wanarandana katika baadhi ya majukumu... Vilevile pia kwa C.O na A.C.O [waganga].
... Hivyo ndivyo nijuavyo kwa upeo wangu mdogo...SATISFIED?!