Kwa madeni haya nchi ya Kenya ishauzwa

Tundu lissu anayesema bwala la mtera linatosha kwa umeme, mengine hayana maana[emoji3][emoji3][emoji3].

umechagua kumsikiliza.
halafu atakwambia 2 nilipigwa tumboni 3 nkapigwa takoni nne zikakata mguu..utadhani uchumi unaendeshwa na sympathizers....akizidi piga kelele tunatafuta mgombea mweza wodi ya kansa
 
bado unatapa tapa umekosa link sio za hyo mikopo[emoji23][emoji23]
We mwanamke umetumwa...mbona huu mda haujatumia kuuliza mpiga chang"aa wenu kenyata
1. kenyans covid loans - بحث Google
2. Kenya: €188m African Development Bank loan to boost COVID-19 response

3. IMF Executive Board Approves a US$739 Million Disbursement to Kenya to Address the Impact of the COVID-19 Pandemic

4. World Bank approves $500m loan towards locust invasion mitigation

5. More loans for Kenya as World bank approves Sh4.6bn to fight locusts - Capital Business

ndo maana mkiambiwa kaeni ndani manyang"au hata hambishi maana waume zenu wameshauwauza wenzenu tulishtuka tukaomba tupunguziwe madeni sio kupewa mapya

Tanzania wants debts cancelled as OIC urges support for Africa
 
Usisahau kuwa according to Tundu Lissu ndanii ya maka mitano hata sisi tumekoba tillion 40 na million 500 na bado tuanendelea kukopa.
Vyema umeandika according to mropokaji tundu Lisu
Maana alisema hayo hata wakati tunawashughulikia accacia
 
Heheee!!yani nimefungua ndani hadi nikacheka..
Peleka mbali hzo link uchwara
 
Heheee!!yani nimefungua ndani hadi nikacheka..
Peleka mbali hzo link uchwara
mavi ya kuku..halafu we utakua mwalim huku dar unaona kibarua chako kitaota nyasi urudi kwenu kibera..
 
Nchi haijawahi kuuzwa kama shati. Kodi na mapato mengine ya nchi husika yatalipa mikopo hata kama ni kwa karne mia
Umeshasikia habari za nchi ya zambia kuhusu shirika lake la umeme kuchukuliwa na wachina?ilikuwa ni zaidi ya kuuziana shati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…