chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jan 3, 2025 #1 Kwa niliyosikia akisema Erick Kabendera, halafu unasikia mtu anabeza maridhiano na kuyaita upuuzi. Taifa lote tusimame na kumpuuza kwa nguvu zote. Kama nchi, tumepiga hatua kubwa kutoka katika hali ile. Tuwapongeze Mama Samia na Mbowe.
Kwa niliyosikia akisema Erick Kabendera, halafu unasikia mtu anabeza maridhiano na kuyaita upuuzi. Taifa lote tusimame na kumpuuza kwa nguvu zote. Kama nchi, tumepiga hatua kubwa kutoka katika hali ile. Tuwapongeze Mama Samia na Mbowe.
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jan 3, 2025 Thread starter #2 Cc:Ziwa Kindai
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jan 3, 2025 Thread starter #3 Dialogist said: Mi nimelaaniwa... ...Ni Hayo Tu!! Click to expand... Laana hiyo ipatilizwe kwa vizazi vyako
Dialogist said: Mi nimelaaniwa... ...Ni Hayo Tu!! Click to expand... Laana hiyo ipatilizwe kwa vizazi vyako
Dialogist JF-Expert Member Joined Apr 14, 2014 Posts 1,167 Reaction score 1,872 Jan 3, 2025 #4 chiembe said: Laana hiyo ipatilizwe kwa vizazi vyako Click to expand... Na cha kwako Mkuu... ...Ni Hayo Tu!!!
chiembe said: Laana hiyo ipatilizwe kwa vizazi vyako Click to expand... Na cha kwako Mkuu... ...Ni Hayo Tu!!!
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Jan 3, 2025 #5 Soka, Kibao hao kwa uchache halafu anatoka mtu anasema Kuna maridhiano au Magufuli alifufuka.
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jan 3, 2025 Thread starter #6 Dialogist said: Na cha kwako Mkuu... ...Ni Hayo Tu!!! Click to expand... Wewe ndio umeomba laana