Kwa Maelezo Zaidi Ni PM

Kwa Maelezo Zaidi Ni PM

chardams

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
2,439
Reaction score
1,738
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae. Kwa maelezo zaidi ni PM
 
Hivi wewe unatumia kichwa gani kufukiri? Hata hivyo sikushangai kwani hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho japo wakiulizwa kuwa wameelewa wanajibu ndio. Hivyo sikushangai wewe kuwa moja wapo
wewe ni me au ke?
 
Hivi wewe unatumia kichwa gani kufukiri? Hata hivyo sikushangai kwani hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho japo wakiulizwa kuwa wameelewa wanajibu ndio. Hivyo sikushangai wewe kuwa moja wapo

Unamuonea tu......hujasema huyo mwanamke unazaa naye vipi......unampa uja uzito.......unambebesha yai la mumeo...... au anakuwa surrogate mother wa mtoto wako?
 
Hivi wewe unatumia kichwa gani kufukiri? Hata hivyo sikushangai kwani hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho japo wakiulizwa kuwa wameelewa wanajibu ndio. Hivyo sikushangai wewe kuwa moja wapo

Jibu swali povu la nini? wewe ni me au ke...Nimekupa option mbili tu sasa essay ya nini dogo? Kama hujapata PM unanikasirikia mimi? Hujui Hata she wanaoa siku hizi? Aaaaaalaaaa....
 

Unamuonea tu......hujasema huyo mwanamke unazaa naye vipi......unampa uja uzito.......unambebesha yai la mumeo...... au anakuwa surrogate mother wa mtoto wako?
naona akili zako na za huyo ni kitu kimoja. Hivi mtu akisema anatafuta mwanamke wa kuzaa nae unategemea huyo mtu kuwa wa jinsia gani. Wale wale wa mwisho darasani a.k.a Zunye
 
naona akili zako na za huyo ni kitu kimoja. Hivi mtu akisema anatafuta mwanamke wa kuzaa nae unategemea huyo mtu kuwa wa jinsia gani. Wale wale wa mwisho darasani a.k.a Zunye

OOH.........soon watu watakueleza kati yetu siye na weye nani zunye........na akili yako nzuri sana unaamini utapata wa kuzaaa naye kirahisi hivyo hapa JF?....NA NANI KAKWAMBIA WATU WA JINSIA MOJA HAWAWEZI KUZAA?

THINK BEFORE YOU INK!!

same sex couple pregnant with first baby - Blended and Multicultural Families - What to Expect.com
 
Jibu swali povu la nini? wewe ni me au ke...Nimekupa option mbili tu sasa essay ya nini dogo? Kama hujapata PM unanikasirikia mimi? Hujui Hata she wanaoa siku hizi? Aaaaaalaaaa....
Mwalimu wako alikuwa na kazi Duh............. Nini ambacho huelewi? Kama unataka nikuzalishe we sema. Don't go around the bush bwana.
 
Zaa ndani ya ndoa. Kuzaa nje ya ndoa si vizuri na si mpango wa Mungu. Kama hujaoa nakushauri uoe ili uzae na mke wa ndoa.
Ushauri mzuri ntafikiria. Lakini jua kuna factors ambazo zimesababisha niwe na mpango huo.
 
Back
Top Bottom