Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta mwanamkwe wa kuzaa nae. Kwa maelezo zaidi ni PM
Uki ni PM utaipata cv huko huko
Hivi wewe unatumia kichwa gani kufukiri? Hata hivyo sikushangai kwani hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho japo wakiulizwa kuwa wameelewa wanajibu ndio. Hivyo sikushangai wewe kuwa moja wapo
Hivi wewe unatumia kichwa gani kufukiri? Hata hivyo sikushangai kwani hata darasani kuna wa kwanza na wa mwisho japo wakiulizwa kuwa wameelewa wanajibu ndio. Hivyo sikushangai wewe kuwa moja wapo
Natafuta mwanamkwe wa kuzaa nae. Kwa maelezo zaidi ni PM
Natafuta mwanamkwe wa kuzaa nae. Kwa maelezo zaidi ni PM
naona akili zako na za huyo ni kitu kimoja. Hivi mtu akisema anatafuta mwanamke wa kuzaa nae unategemea huyo mtu kuwa wa jinsia gani. Wale wale wa mwisho darasani a.k.a Zunye
Unamuonea tu......hujasema huyo mwanamke unazaa naye vipi......unampa uja uzito.......unambebesha yai la mumeo...... au anakuwa surrogate mother wa mtoto wako?
naona akili zako na za huyo ni kitu kimoja. Hivi mtu akisema anatafuta mwanamke wa kuzaa nae unategemea huyo mtu kuwa wa jinsia gani. Wale wale wa mwisho darasani a.k.a Zunye
Mwalimu wako alikuwa na kazi Duh............. Nini ambacho huelewi? Kama unataka nikuzalishe we sema. Don't go around the bush bwana.Jibu swali povu la nini? wewe ni me au ke...Nimekupa option mbili tu sasa essay ya nini dogo? Kama hujapata PM unanikasirikia mimi? Hujui Hata she wanaoa siku hizi? Aaaaaalaaaa....
Natafuta mwanamkwe wa kuzaa nae. Kwa maelezo zaidi ni PM
unatafuta mwanamke au mwanamkwe???????
Kule nchi jirani jamaa kama hawa wanawaita Mburula!OOH.........soon watu watakueleza kati yetu siye na weye nani zunye........na akili yako nzuri sana unaamini utapata wa kuzaaa naye kirahisi hivyo hapa JF?....NA NANI KAKWAMBIA WATU WA JINSIA MOJA HAWAWEZI KUZAA?
THINK BEFORE YOU INK!!
same sex couple pregnant with first baby - Blended and Multicultural Families - What to Expect.com
Mwalimu wako alikuwa na kazi Duh............. Nini ambacho huelewi? Kama unataka nikuzalishe we sema. Don't go around the bush bwana.