Wa JF kwa muda mrefu nilikuwa nafikiria kuwa nitakadriaje matofali na cement pamoja na kiasi cha mchanga kujenga nyumba. Najua kuwa nyumba inaweza kuwa ya vyumba kadhaa na bafu na choo ndani,
hayo yote hutegemea upana,urefu na kina(height)vya vyumba vyako.Hivyo kuna hii
LINK Je mahesabu yake ni sahihi kwa wenye ujuzi wa ujenzi?