Mkuu kumsaidia mtu hata kama ni nduguyo si lazima ni hiari sasa wote wa mwangalie yeye kwa nini na wao wasijitahidi angalau wakatoka ki vingine? Nitamlaumu tu kama atakuwa kasahau mama basiKwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar
Kwanini "mama" na si baba??Mkuu kumsaidia mtu hata kama ni nduguyo si lazima ni hiari sasa wote wa mwangalie yeye kwa nini na wao wasijitahidi angalau wakatoka ki vingine? Nitamlaumu tu kama atakuwa kasahau mama basi
Ni kweli mkuu...Mimi mwenyewe huyoMkuu ungeweka bayana ndugu gani wa huyo kijana wanashida, kabla hujapandikiza chuki kwa wachangiaji.
Duuhhh! Pole sanaNi kweli mkuu...Mimi mwenyewe huyo
"Mayonnaise" ni mtoto wa shangazi lakini hajawahi kunipa hata mia mie nateseka hapa kijijini na biashara yangu ya majeneza.! Nilishamwambia anisaidie japo kupata masoko ya bidhaa zangu huko Dar lakn wapi.!
mkuu sidhani kama harmonize ana uwezo wa kugawa million 9. hiyo ni kiki am sureKwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar
HAJAMWAGA PESA,BALI AMETOA ZAWADI KWA RIDHAA NA FURAHA YA MOYO WAKE.Kwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar