Kwa majobless na vijana baadhi Tv zimeharibu akili yao

Kwa majobless na vijana baadhi Tv zimeharibu akili yao

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Vijana wengi wanatazama tv si kwa lengo la kupata elimu na habari muhimu, bali wanatazama kuiga mambo. Mf anatazama maigizo anajifunza kuharibikiwa maadili kama binti mdogo anaiga majibu ya hovyo, nyodo, namna gani ajibaraguze anapotongozwa, kusema hovyo akiumizwa na kuchamba, kijana wa kiume anaiga wanavyotongoza, wanavyomuadhibu mwanamke.

Ndiyo mana vijana wadogo wanamajibu makubwa tofauti na umri wao na hawajibu kwa tafakari halisi wanajibu kwa mwongozo wa tamthilia.wanaishi kea picha kubwa ya mabo kuliko uhalisia Naonya hili linawaangamiza. Vijana na watu wa vijijini wasiyo na tv wanatofauti kubwa kitabia kuliko hawa vijana wa mijini wanaoshinda kutazama tamthilia.
 
Vijana wengi wanatazama tv si kwa lengo la kupata elimu na habari muhimu,bali wanatazama kuiga mambo.Mf anatazama maigizo anajifunza kuharibikiwa maadili kama binti mdogo anaiga majibu ya hovyo,nyodo,namna gani ajibaraguze anapotongozwa,kusema hovyo akiumizwa na kuchamba,kijana wa kiume anaiga wanavyotongoza ,wanavyomuadhibu mwanamke.Ndiyo mana vijana wadogo wanamajibu makubwa tofauti na umri wao na hawajibu kwa tafakari halisi wanajibu kwa mwongozo wa tamthilia.wanaishi kea picha kubwa ya mabo kuliko uhalisia Naonya hili linawaangamiza.Vijana na watu wa vijijini wasiyo na tv wanatofauti kubwa kitabia kuliko hawa vijana wa mijini wanaoshinda kutazama tamthilia.
Sisi tunao lala sitting room kwa shemeji ZETU Mbona tutakoma..

Ngoja niamke hapa nikapambane 😊
Get Rich or Die Tryin
 
Vijana wengi wanatazama tv si kwa lengo la kupata elimu na habari muhimu,bali wanatazama kuiga mambo.Mf anatazama maigizo anajifunza kuharibikiwa maadili kama binti mdogo anaiga majibu ya hovyo,nyodo,namna gani ajibaraguze anapotongozwa,kusema hovyo akiumizwa na kuchamba,kijana wa kiume anaiga wanavyotongoza ,wanavyomuadhibu mwanamke.Ndiyo mana vijana wadogo wanamajibu makubwa tofauti na umri wao na hawajibu kwa tafakari halisi wanajibu kwa mwongozo wa tamthilia.wanaishi kea picha kubwa ya mabo kuliko uhalisia Naonya hili linawaangamiza.Vijana na watu wa vijijini wasiyo na tv wanatofauti kubwa kitabia kuliko hawa vijana wa mijini wanaoshinda kutazama tamthilia.
Toa na mfano basi na useme namna gani hao unawaoita jobless wamemiss behave!
 
Vijana wengi wanatazama tv si kwa lengo la kupata elimu na habari muhimu,bali wanatazama kuiga mambo.Mf anatazama maigizo anajifunza kuharibikiwa maadili kama binti mdogo anaiga majibu ya hovyo,nyodo,namna gani ajibaraguze anapotongozwa,kusema hovyo akiumizwa na kuchamba,kijana wa kiume anaiga wanavyotongoza ,wanavyomuadhibu mwanamke.Ndiyo mana vijana wadogo wanamajibu makubwa tofauti na umri wao na hawajibu kwa tafakari halisi wanajibu kwa mwongozo wa tamthilia.wanaishi kea picha kubwa ya mabo kuliko uhalisia Naonya hili linawaangamiza.Vijana na watu wa vijijini wasiyo na tv wanatofauti kubwa kitabia kuliko hawa vijana wa mijini wanaoshinda kutazama tamthilia.
Mabroo mkishatoboa bhana kila kitu lazima mtafute angle ya kuwalaumu majobless. Wapeni connection za kazi basi wasipate muda wa kuangalia izo tv
 
Back
Top Bottom