[h=2]katika pita pita yangu mitandaoni nimeona haya katika website ya tume ya mipango.
Roles and Functions of POPC[/h]1. To Develop Vision and Guidelines of the National Economy
2. Economic Policy, Economic Management and Research, National Development Planning Strategies.
To assess the state of the National resources for developing and advice the Government on the efficient utilization of those resources,
To analyse trends in the key Economic variables including balance of payments, money supply and prices and advises the Government accordingly,
To analyse existing policies with the view to strengthen their implementation and to propose new policies where it is deemed necessary
To monitor day-to-day performance of various sectors of the economy and ensure that appropriate measurers are taken to solve any operational problems as may be detected in those sectors,
To ensure guidelines on economic relations with other states and international organization
To develop National Demographic Strategies,
To issue guidelines for the formulation of the National Plan and monitor the preparation process of long-term, medium-term and short-annual plans.
To monitor the implementation of Government decisions on matters of planning and the management of the economy
To analyse any social and economic issues and recommended to the Government appropriate policies and measures to be taken in the national interest
nashindwa kuelewa hivi mchawi kwetu sisi Tanzania yuko wapi?
tuna kitu kama hiki chenye malengo mazuri lakini hatutekelezi mradi wa kujenga uchumi mpaka iwe ni kutegemea miradi ya wafadhili.
tunajisema sisi ni nchi ya pili barani afrika kwa kufuga ngombe lakini tumeshindwa hata kuwapa wafugaji wetu soko karibu lote la ndani la maziwa tunajigamba kuwa na think tank .
tunazalisha matunda kwa wingi wananchi wetu wanakunywa kemikali kutoka asia kama juice na tunajigamba tunapambana na umasikini kutumia think tank.
tumeanzisha shirika la sido, limejikita katika kuzalisha bidhaa zisizokuwa sokoni kama bidhaa za mianzi, juice zenye imani pembeni na sio kutumia shirika hili kupunguza imports eti tuna think tank.
yapo mambo mengi mpaka unajiuliza hawa jamaa wanafanya nini?????
nachelea kusema yawezekana mifumo yetu inawafanya wasiweze kufanya kazi kwa maana makaratasi yanampa mamlaka haya lakini hali halisi ni kitu kingine.
ushauri wangu kwa raisi ajaye kama anataka kufanya kazi na baada ya miaka mitano ikawa ya tija, jambo la kwanza ni kuboresha tume hii.
ni bora tume hii ikahamishiwa kwa waziri mkuu kwa maana majukumu ya waziri mkuu kikatiba ndio hayo hayo ambayo ni kama yametafsiriwa kwa mapana katika majukumu ya tume ya mipango.
bila kuwa na mipango taifa haliwezi kupiga hatua kwa maana kwa sasa serikali inatumia gharama kubwa sana kufanya mambo yaleyale au kufanya mambo ambayo wakati wake bado.
jambo ambalo lingefanyika sehemu moja na kutoa huduma kwa serikali nzima unakuta kila wizara inafanya jambo lake, kila taasisi inafanya jambo lake.
mpango unaondaliwa na wizara moja unakwamishwa na wizara nyingine kutoplay part yake.
Roles and Functions of POPC[/h]1. To Develop Vision and Guidelines of the National Economy
2. Economic Policy, Economic Management and Research, National Development Planning Strategies.
To assess the state of the National resources for developing and advice the Government on the efficient utilization of those resources,
To analyse trends in the key Economic variables including balance of payments, money supply and prices and advises the Government accordingly,
To analyse existing policies with the view to strengthen their implementation and to propose new policies where it is deemed necessary
To monitor day-to-day performance of various sectors of the economy and ensure that appropriate measurers are taken to solve any operational problems as may be detected in those sectors,
To ensure guidelines on economic relations with other states and international organization
To develop National Demographic Strategies,
To issue guidelines for the formulation of the National Plan and monitor the preparation process of long-term, medium-term and short-annual plans.
To monitor the implementation of Government decisions on matters of planning and the management of the economy
To analyse any social and economic issues and recommended to the Government appropriate policies and measures to be taken in the national interest
nashindwa kuelewa hivi mchawi kwetu sisi Tanzania yuko wapi?
tuna kitu kama hiki chenye malengo mazuri lakini hatutekelezi mradi wa kujenga uchumi mpaka iwe ni kutegemea miradi ya wafadhili.
tunajisema sisi ni nchi ya pili barani afrika kwa kufuga ngombe lakini tumeshindwa hata kuwapa wafugaji wetu soko karibu lote la ndani la maziwa tunajigamba kuwa na think tank .
tunazalisha matunda kwa wingi wananchi wetu wanakunywa kemikali kutoka asia kama juice na tunajigamba tunapambana na umasikini kutumia think tank.
tumeanzisha shirika la sido, limejikita katika kuzalisha bidhaa zisizokuwa sokoni kama bidhaa za mianzi, juice zenye imani pembeni na sio kutumia shirika hili kupunguza imports eti tuna think tank.
yapo mambo mengi mpaka unajiuliza hawa jamaa wanafanya nini?????
nachelea kusema yawezekana mifumo yetu inawafanya wasiweze kufanya kazi kwa maana makaratasi yanampa mamlaka haya lakini hali halisi ni kitu kingine.
ushauri wangu kwa raisi ajaye kama anataka kufanya kazi na baada ya miaka mitano ikawa ya tija, jambo la kwanza ni kuboresha tume hii.
ni bora tume hii ikahamishiwa kwa waziri mkuu kwa maana majukumu ya waziri mkuu kikatiba ndio hayo hayo ambayo ni kama yametafsiriwa kwa mapana katika majukumu ya tume ya mipango.
bila kuwa na mipango taifa haliwezi kupiga hatua kwa maana kwa sasa serikali inatumia gharama kubwa sana kufanya mambo yaleyale au kufanya mambo ambayo wakati wake bado.
jambo ambalo lingefanyika sehemu moja na kutoa huduma kwa serikali nzima unakuta kila wizara inafanya jambo lake, kila taasisi inafanya jambo lake.
mpango unaondaliwa na wizara moja unakwamishwa na wizara nyingine kutoplay part yake.