Kwa Mantiki ya Kusogeza Maendeleo Kwa Watu,Inaleta Maana Kuanzisha Maeneo Mapya za Utawala Kuliko Kuunda Majimbo ya Uchaguzi ambayo ni mzigo Kwa Umma.

Kwa Mantiki ya Kusogeza Maendeleo Kwa Watu,Inaleta Maana Kuanzisha Maeneo Mapya za Utawala Kuliko Kuunda Majimbo ya Uchaguzi ambayo ni mzigo Kwa Umma.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Binafsi Huwa nashindwa kuelewa hii Nchi inavyoweka na kuratibu mipango yake.

Kwamba inakuaje tuwe na utitiri wa Wawakilishi wa Kisiasa ambao ni Wabunge badala ya kugawa maeneo ya kutawala Ili kuongeza ufanisi na kusogeza Huduma Kwa Wananchi Kwa njia ya kuwa na eneo dogo la Utawala?

Uzoefu unaonesha eneo la utawala.lokiwa dogo Wananchi wanapata Huduma kirahisi hata Nchi ndogo Kwa eneo zimeendelea zaidi kuliko Nchi kubwa kieneo.

Sasa unapoona Serikali inakataa kuongeza maeneo ya Utawala badala yake inaongezwa maeneo ya Kisiasa sijui Huwa inalenga kiti gani kama sio ulafi wa Wanasiasa.

View: https://x.com/millardayo/status/1900560287368966449?t=KthgtDrNnJ4EnUIjrgyx_w&s=19

Kuwa na Majimbo mengi hakuongezi chochote kwenye maendeleo ya Wananchi badala yake kunamuongezea mzigo wa kulipa Kodi mtu ambae hana faida au hata asipokuwepo hakuna hasara.

Natamani Rais mwingine akija afute huu utitiri wa Wabunge .Bunge la Tanzania Lina zaidi ya Wabunge 300 Sasa hao wengine wanataka kuongezwa wa nini? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHLsmitMrWy/?igsh=MTc2Mnc0aHBqNHVsMQ==

My Take
Wanasiasa wanakera sana ndio maana Huwa nawapuuza.Hao watu ni wabinafsi na waroho wa madaraka na wezi wa Mali za Umma.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DHJe7mWMYQn/?igsh=ZDQ1MG9vZ29oZTdl
 
Ccm ni chama cha wapumbavu waliofirisika

Mtu yeyote akiwa ccm anakuwa kiazi Kama majariwa
 
Binafsi Huwa nashindwa kuelewa hii Nchi inavyoweka na kuratibu mipango yake.

Kwamba inakuaje tuwe na utitiri wa Wawakilishi wa Kisiasa ambao ni Wabunge badala ya kugawa maeneo ya kutawala Ili kuongeza ufanisi na kusogeza Huduma Kwa Wananchi Kwa njia ya kuwa na eneo dogo la Utawala?

Uzoefu unaonesha eneo la utawala.lokiwa dogo Wananchi wanapata Huduma kirahisi hata Nchi ndogo Kwa eneo zimeendelea zaidi kuliko Nchi kubwa kieneo.

Sasa unapoona Serikali inakataa kuongeza maeneo ya Utawala badala yake inaongezwa maeneo ya Kisiasa sijui Huwa inalenga kiti gani kama sio ulafi wa Wanasiasa.

Kuwa na Majimbo mengi hakuongezi chochote kwenye maendeleo ya Wananchi badala yake kunamuongezea mzigo wa kulipa Kodi mtu ambae hana faida au hata asipokuwepo hakuna hasara.

Natamani Rais mwingine akija afute huu utitiri wa Wabunge .Bunge la Tanzania Lina zaidi ya Wabunge 300 Sasa hao wengine wanataka kuongezwa wa nini? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHLsmitMrWy/?igsh=MTc2Mnc0aHBqNHVsMQ==

My Take
Wanasiasa wanakera sana ndio maana Huwa nawapuuza.Hao watu ni wabinafsi na waroho wa madaraka na wezi wa Mali za Umma.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DHJe7mWMYQn/?igsh=ZDQ1MG9vZ29oZTdl

Mkuu nashangaa thread yako nzuri sana tena ya jana mapema lakini haina comment hata moja zaidi ya hii ya kwangu...

Anyway kuna shida mahali, maana hii ni content ambayo ilipaswa kuwaamsha wananzengo hasa wa Chadema, ila kimya tu.. Erythrocyte Lord denning ...

Hata hivyo leo umeongea point kubwa sana isiyo na unazi wa CCM wala Uchawa wa Mama... Naomba usikilizwe tafadhari..
 
Mkuu nashangaa thread yako nzuri sana tena ya jana mapema lakini haina comment hata moja zaidi ya hii ya kwangu...

Anyway kuna shida mahali, maana hii ni content ambayo ilipaswa kuwaamsha wananzengo hasa wa Chadema, ila kimya tu.. Erythrocyte Lord denning ...

Hata hivyo leo umeongea point kubwa sana isiyo na unazi wa CCM wala Uchawa wa Mama... Naomba usikilizwe tafadhari..
Huwezi kukuta nyuzi kama hizi zikipata wachangiaji maana kama unavyowajua watanzania wengi mambo ya msingi sio vipaumbele kwao.

Hata mie niliongelea suala husika kwenye uzi nilioupandisha juzi. Mleta mada hajatofautiana sana na hoja zangu kwenye uzi wangu nilioupandisha juzi!

Uangalie hapa👇
 
Back
Top Bottom