Kwa maoni yangu bei ya kifurushi cha Azam upande wa Michezo sio kibaya

Kwa maoni yangu bei ya kifurushi cha Azam upande wa Michezo sio kibaya

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Mnyonge mnyongeni ila Azam kwa hii bei na mifumo ya kikodi ya nchi yetu, gharama za uendeshaji hasa ukizingatia dollar ilivyo juu mimi naona malipo ya 910 per day sio mbaya.

Kwa wale wenye mabanda watapiga hela zaidi.

Ifahamike kuwa la Liga msimu huu ni Kali zaidi, Bundesliga huwa ni Kali kama kawaida.

Tusisahau na carabao.
 
Tanzania huwa tunashindwa kujua chanzo cha tatizo. Hapa chanzo siyo Azam bali ni serikali kuwaongezwa kodi. Mbona hata Startimes ni kama vile wameongeza bei!

Tatizo serikali ikiona sehemu kuna mzunguko mkubwa wa pesa, na yenyewe ndio inajikita huko huko hata kama sehemu hiyo siyo ya viwanda kama haya masuala ya ving'amuzi. Huku hawakutakiwa kuchukua kodi kubwa ili wananchi wafurahie angalau maisha.
 
Back
Top Bottom