Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hivi muzungu anakufa USA au sijui Iceland halafu tunaandika tanzia, hivi ni sawa kweli?
Mimi kwangu haiji, naona kama tanzia inafaa mtu wetu wa karibu hapa nyumbani TZ lkn siyo mtu aliyekufa Mexiko huko halafu tunaandika tanzia, au sijui labda Mwanamziki wa USA akifa tunaandika tanzia, hilo ni sawa kweli?
Mimi kwangu haiji, naona kama tanzia inafaa mtu wetu wa karibu hapa nyumbani TZ lkn siyo mtu aliyekufa Mexiko huko halafu tunaandika tanzia, au sijui labda Mwanamziki wa USA akifa tunaandika tanzia, hilo ni sawa kweli?