Mambumbu ndio nini? kama sio umbumbumbu huo ni nini?Big brand kwa vigezo vipi? Baada ya kutolewa na kale ka timu sasa wametafuta kichaka cha kujifariji! Nilikuwa siamini kama mashabiki wa Simba ni mambumbu ...............! Na viongozi wao Wanawajulia sana
Mkuu, acha wajifariji. Hapo roho zao kwatu. Kombe na Hasa VPL watavisikia redioni tu. Labda waibe!Sio kweli, ukisema kuwa ni club kongwe sawa lakini kwa timu bado sana kwa sababu mwaka wa ngapi hawashiriki mashindano ya kimataifa?
Kwani hao yanga wenye kombe wameongezeka nini?kubwa bila makombe ni sawa na mwanaume kujiita baba kwa watoto wa nduguze
Mkifungwa msiwakatie rufaa Green Warriors. Maana mko busy na kuuza sura badala ya kujiandaa na match.Huu ni uthibitisho kwamba Simba ni Big brand...hapa wamepokelewa kuanzia kilwa mpaka mtwara....
Kweli mkuu ni sawa na kuwa baunsa halafu shogakubwa bila makombe ni sawa na mwanaume kujiita baba kwa watoto wa nduguze
hahahahahaKweli mkuu ni sawa na kuwa baunsa halafu shoga
Ni mbu waliosemwa na mobeto hamisaMambumbu ndio nini? kama sio umbumbumbu huo ni nini?
Kupata fedha nyingi zaidi za zawadi ya ushindi, kushiriki mara nyingi zaidi mashindano ya klabu za Afrika na kwa hivyo kuonekana/kujulikana zaidi nje ya mipaka ya Tanzania, kupata washabiki zaidi ilivyokuwa kimaumbile ushindi huvuta watu pamoja, wadau kuwa na furaha zaidi kuliko wa timu nyengine, kukubaliwa zaidi na wanafamilia ya Soka nchini na duniani, kuvutia zaidi wadhamini na kwa fedha nyingi zaidi, sauti zaidi mbele ya Uongozi wa Soka nchini na duniani, ........ rufaa kidogo zaidi kwenda FIFA.....!Kwani hao yanga wenye kombe wameongezeka nini?
kakojoe unye ulale hamna unachokijuaKwani hao yanga wenye kombe wameongezeka nini?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji24]kubwa bila makombe ni sawa na mwanaume kujiita baba kwa watoto wa nduguze
Haiondoi ubaba wakekubwa bila makombe ni sawa na mwanaume kujiita baba kwa watoto wa nduguze
mimi nakushangaa wewe mshana jr unashindwa kuloga kuisaidia timu yako kweli?Haiondoi ubaba wake
[emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji121]mimi nakushangaa wewe mshana jr unashindwa kuloga kuisaidia timu yako kweli?
Kubwa kwa porojo za manara##flatscreentv#kubwa bila makombe ni sawa na mwanaume kujiita baba kwa watoto wa nduguze