Mkuu hii ni prepaid au postpaid?Mi nadunda na elfu 10 tu kwa mwezi.
Gb 5...
..Dakika 500 mitandao yote nampigia hadi boss wa DP WORLD😅😅
View attachment 2735003
Labda watakuwa hawaibi data kama mitandao mingineGb 5 unatoboa mwezi mzima?
Hii ikoje mkuu? Hebu tufahamishe vizuri.Achana nao hao kausha damu tumia sme ya airtel tigo wezi hao
Mb 10 may be unatumia smart kitochiKila mtu na matumizi yake mkuu, wengine hata MB 10 kwa siku zinatosha
Kiswahili chake ni niniMkuu hii ni prepaid au postpaid?
Hizo ni zangu mkuu sio zako acha wiziGb 5 kwa mwez kwangu hzo chache sn rafiki yng
Prepaid - malipo kabla......yaani lazima kwanza uweke vocha ununue bando ndipo utumia.Kiswahili chake ni nini
Ni postpaid ya airtel ukiungwa unajiunga hata kama una pesa unajiunga siku nyingine ila vya tigo ukiungwa usipo lipa wanakula kichwa yaani wanakuzimia laini au unaekewa deniHii ikoje mkuu? Hebu tufahamishe vizuri.
Airtel wanaita smeNi postpaid ya airtel ukiungwa unajiunga hata kama una pesa unajiunga siku nyingine ila vya tigo ukiungwa usipo lipa wanakula kichwa yaani wanakuzimia laini au unaekewa deni
Gb 30 na sitoboagi mwezi. Tar 28-30 ngoma inakata.Labda watakuwa hawaibi data kama mitandao mingine
Basi hao jamaa ni wezi zaidi ya hawa hapa wa HALOTEL. Tazama 25% ya data ilivyofywekwa ndani ya dakika 2 tu? Hawa majamaa ni wezi hadi wamepitiliza aisee:Gb 30 na sitoboagi mwezi. Tar 28-30 ngoma inakata.