Kwa mara ya kwanza Diamond anafanya show katika ukumbi mkubwa huko Texas

shukrani kwa taharifa mtoa mada, naona msanii wetu anazidi kukua kiasi ambacho hata mapromoter wanaanza kumchukulia kama msanii wa kimataifa
 
Sasa kama washawah kuutumiaa kina Jayz ndio atapaa zaidii au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…