Kwahiyo?1. Nimekaa zaidi ya mwaka mmoja bila kuchepuka.
2. Mwaka mzima sijaingia guest wala sija honga wala sijavaa kndom.
3. Ni murefu saana pombe haijapita mdomoni mwangu.
4. Nina zaidi ya miaka kumi sijawahi kuibiwa au kupoteza simu.
NiigeKwahio?
Na wewe uwe na mawazo ya ki matawi ya juu.Una andika kama chotara Jr,kutokuvaa ndom nao huo ni umama ,
Kuingia guest kwa mwaka hata haujasafiri
Na wewe uwe na mawazo ya ki matawi ya juu.Una andika kama chotara Jr,kutokuvaa ndom nao huo ni umama ,
Kuingia guest kwa mwaka hata haujasafiri
Kwa hiyo ?Kwahio?
Asante kaka umenisaidia. Mimi nilidhani jamaa ni kuku anataka kulia wakati anachinjwa kwiiioh kwiiioohKwa hiyo ?
Huwa siigi.Niige
Kila unakosafiri kuna hotel za matawi ya juu?Na wewe uwe na mawazo ya ki matawi ya juu.
Nikisafiri nafikia Hotelini. Gesti ni kwa watu wa chini.
1 Wakorintho 10:12 NEN1. Nimekaa zaidi ya mwaka mmoja bila kuchepuka.
2. Mwaka mzima sijaingia guest wala sija honga wala sijavaa kndom.
3. Ni murefu saana pombe haijapita mdomoni mwangu.
4. Nina zaidi ya miaka kumi sijawahi kuibiwa au kupoteza simu.
Kila unakosafiri kuna hotel za matawi ya juu?
Nje ya mada naomba ufafanuzi
Guest
Lounge
Lodge
Hotel
Motel
Ili iweje,nahitaji ufahamu wako basi kausha maana kila kitu una Google na hizo degree zenu za Google
Beer inakusaidia nini mwilini mwako?nataman nikae zaidi ya week mbili bia kunywa bia.
Sent from my iPhone using JamiiForums