kwa Mara ya Kwanza KKKT tumesomewa barua kutoka kwa Askofu ikilaani utekaji

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Maisha yanaenda faster Sana Sana, Leo nimesali usharika WA KKKT hapo Tegeta. Kwenye matangazo tumesomewa barua iliyoandikwa na Mkuu wa Kanisa KKKT Askofu Dr Malasusa akilaani utekaji na Kwamba Hali inazidi kuwa mbaya.

Sijafanikiwa kupata nakala yake ila nimeamini usimkatie tamaa MTU, sikuwahi kuamini kama Malasusa anaweza kuikemea Serikali ya CCM.

Nikipata nakala nitaiweka hapa
 
Penye ukweli, uongo hujitenga😀
 
Afu kuna fara m1 kutoka arusha anasimama mbele ya matapeli wa kidini kuzungumzia maaaskofu na maandiko yake ya kujitungia
 
Makonda anasema muombe tu, msiandike waraka!
 
Sema "haki ya Mungu" manake Malasusa hakika hawezi kuruhusu hiyo kitu.
 
Usiwe mfuasi wa majungu, hasa yale ya Lema dhidi ya Askofu Malasusa.
Amtegemeaye binadamu amelaaniwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…