Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Aisee Kwa uchezaji wa Al ahaly ule naamin asilimia 100 marudiano Simba lazima ashinde kutokana na sababu zifuatazo;
1. Kiwango walichoonesha Al ahaly ni kidogo ukilinganisha na Simba pamoja na kwamba wamebahatisha goli.
2. Simba itafanya mazoezi magumu/bidii ili wajikwamue wakati huo wapinzani watabweteka wakiamini kwao ushindi ni lazima.
3. Goli moja walilo mfunga Simba ni rahisi kurudisha kuliko wangefungwa zaidi.
4. Mabadiriko atakayo yafanya kocha wa Simba yatazaa matunda tofauti na kikosi alicho kianzisha leo, mfano unamuwekaje Savio 4ward Kwa majaribio kwenye mchezo muhimu kama huu? Naamin next game kocha hawezi kurudia makosa.
Nitaweka dau la elfu laki moja (100,000) naamin mhindi atatoa odds kubwa kwa Simba akihisi ni kibonde kumbe sivyo.! Nitaweka timu moja tuuu.
Japokuwa mpira siujui wala sifuatilii lkn naona muujiza ambao wengine hawawezi ona.!!
1. Kiwango walichoonesha Al ahaly ni kidogo ukilinganisha na Simba pamoja na kwamba wamebahatisha goli.
2. Simba itafanya mazoezi magumu/bidii ili wajikwamue wakati huo wapinzani watabweteka wakiamini kwao ushindi ni lazima.
3. Goli moja walilo mfunga Simba ni rahisi kurudisha kuliko wangefungwa zaidi.
4. Mabadiriko atakayo yafanya kocha wa Simba yatazaa matunda tofauti na kikosi alicho kianzisha leo, mfano unamuwekaje Savio 4ward Kwa majaribio kwenye mchezo muhimu kama huu? Naamin next game kocha hawezi kurudia makosa.
Nitaweka dau la elfu laki moja (100,000) naamin mhindi atatoa odds kubwa kwa Simba akihisi ni kibonde kumbe sivyo.! Nitaweka timu moja tuuu.
Japokuwa mpira siujui wala sifuatilii lkn naona muujiza ambao wengine hawawezi ona.!!