Kwa mara ya kwanza nimepata access ya kuandika kitu JF

Kwa mara ya kwanza nimepata access ya kuandika kitu JF

Mngurimi

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
819
Reaction score
790
Mimi ni mgeni na baada ya kupitia terms & conditions za JF now nawasikiliza ninyi kunipa vigezo vyenu binafsi.
 
Mimi ni mgeni na baada ya kupitia terms & conditions za JF now nawasikiliza ninyi kunipa vigezo vyenu binafsi.


Humu jf kuna kila aina ya watu, wapo pia wanaopinga Mungu hivyo uwe muangalifu.

Karibu sana.
 
Mngurimi unaona?? [emoji1787] huo ni uthibitisho kwamba kuna watu pia wanaamini Miungu, sasa wanataka kujua ni Mungu yupi ninayemzungumzia.
Umejuaje? Kila mtu mungu anayemuamini ndo Mungu halafu wengine walobaki anawaita miungu...kwahyo hata Mungu wako kwangu anaweza kuwa miungu ndomana nkataka kujua unazungumzia Mungu yupi
 
Umejuaje? Kila mtu mungu anayemuamini ndo Mungu halafu wengine walobaki anawaita miungu...kwahyo hata Mungu wako kwangu anaweza kuwa miungu ndomana nkataka kujua unazungumzia Mungu yupi


Mungu wa kweli ni Yule aliyekupa jinsia uliyonayo bila ya wazazi wako au wewe mwenyewe kujipangia uwe na jinsia uwe na jinsia ipi.
 
jinsia inapatikana wakati wa kutafuta mtoto niwasilishe
Mungu wa kweli ni Yule aliyekupa jinsia uliyonayo bila ya wazazi wako au wewe mwenyewe kujipangia uwe na jinsia uwe na jinsia ipi.
 
jinsia inapatikana wakati wa kutafuta mtoto niwasilishe


Tofautisha namna ya kutafuta mtoto mwenye jinsia fulani na kupanga mtoto yupi awe na jinsia gani, mfano kama wewe ni mwanaume je hiyo jinsia walipanga wazazi wako wewe uwe mwanaume??-- au wewe ulijua kama ungezaliwa mwanaume??, ungezaliwa na hao wazazi wako??, unge zaliwa Africa??, ungezaliwa katika kabila hilo?? Nk.
 
Hongera na Karibu JF

Jr[emoji769]


Mngurimi huyu ndiye Mshana jr, bila shaka utakuwa unamjua, kwakuwa kakukaribisha basi mambo yako yatakuwa safi humu ndani, basi wewe ujimwambafai bila khofu, kauli yake ya kukukaribisha imebeba ZINDIKO.🤣
 
Back
Top Bottom