Kwa mara ya kwanza tangu ipate Uhuru, Senegal imeanza kuzalisha na kusambaza mafuta yake yenyewe! Tani 90,000 zazalishwa

Kwa mara ya kwanza tangu ipate Uhuru, Senegal imeanza kuzalisha na kusambaza mafuta yake yenyewe! Tani 90,000 zazalishwa

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru Senegal imeanza kusafisha mafuta ghafi ambayo yanazalishwa ndani ya nchi, ikifungua mlango mpya katika sekta ya nishati.

Kampuni ya African Refinery Company (SAR), ambayo imekuwa ikifanya kazi tangu 1961, ilitangaza Alhamisi kuwa imefanikiwa kusindika mafuta kutoka kwenye shamba la Sangomar, lililopo huko Senegal.

Kabla ya tangazo la Alhamisi ilikuwa inajulikana wazi kwamba SAR ilikuwa inasafisha mafuta ghafi yaliyokuwa yameingizwa kutoka nje, lakini hatua hii mpya inaashiria mabadilikomakubwa katika sekta ya nishati ya nchi hiyo

Kampuni hiyo imedokeza kuwa tangu Jumamosi, imeweza kusafisha mapipa 650,000 ya mafuta na hivyo kuzalisha takribani tani 90,000 za bidhaa za mafuta, ikiwa ni pamoja na dizeli, kerosene, petrol, na gesi ya butane.

Kufikia sasa imeripotiwa kuwa mafuta hayo yanayozalishwa na SAR tayari yanaifadhiwa kwa ajili ya usambazaji wa ndani.

==============================================================


oil-refinery-purpose-crude-oil-products.jpg

For the first time in its history, Senegal has begun refining domestically produced crude oil, marking a major milestone in the country’s energy sector.

The African Refinery Company (SAR), which has operated since 1961, announced on Thursday that it successfully processed oil from the Sangomar field, an offshore production site in west-central Senegal.

Until now, SAR had only refined imported crude, but this latest development signals a shift toward greater energy self-sufficiency. The company revealed that since Saturday, it has refined 650,000 barrels of crude, yielding around 90,000 tonnes of fuel products, including diesel, kerosene, petrol, and butane gas.

These refined fuels are now being stored for local distribution.

Senegal officially began oil production in June at the Sangomar field, operated by the Australian energy company Woodside Energy. In addition to oil, the country also entered the natural gas market in December, sharing production with neighboring Mauritania along their maritime border

.While Senegal’s production levels remain far below those of major African oil producers like Nigeria, the new oil and gas ventures are expected to generate billions of dollars in revenue.

This economic boost could significantly accelerate the country’s development, supporting both exports and domestic energy consumption.

Source: African Diaspora International
 
Wakuu,

Kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru Senegal imeanza kusafisha mafuta ghafi ambayo yanazalishwa ndani ya nchi, ikifungua mlango mpya katika sekta ya nishati.

Kampuni ya African Refinery Company (SAR), ambayo imekuwa ikifanya kazi tangu 1961, ilitangaza Alhamisi kuwa imefanikiwa kusindika mafuta kutoka kwenye shamba la Sangomar, lililopo huko Senegal.

Kabla ya tangazo la Alhamisi ilikuwa inajulikana wazi kwamba SAR ilikuwa inasafisha mafuta ghafi yaliyokuwa yameingizwa kutoka nje, lakini hatua hii mpya inaashiria mabadilikomakubwa katika sekta ya nishati ya nchi hiyo

Kampuni hiyo imedokeza kuwa tangu Jumamosi, imeweza kusafisha mapipa 650,000 ya mafuta na hivyo kuzalisha takribani tani 90,000 za bidhaa za mafuta, ikiwa ni pamoja na dizeli, kerosene, petrol, na gesi ya butane.

Kufikia sasa imeripotiwa kuwa mafuta hayo yanayozalishwa na SAR tayari yanaifadhiwa kwa ajili ya usambazaji wa ndani.

==============================================================



For the first time in its history, Senegal has begun refining domestically produced crude oil, marking a major milestone in the country’s energy sector.

The African Refinery Company (SAR), which has operated since 1961, announced on Thursday that it successfully processed oil from the Sangomar field, an offshore production site in west-central Senegal.

Until now, SAR had only refined imported crude, but this latest development signals a shift toward greater energy self-sufficiency. The company revealed that since Saturday, it has refined 650,000 barrels of crude, yielding around 90,000 tonnes of fuel products, including diesel, kerosene, petrol, and butane gas.

These refined fuels are now being stored for local distribution.

Senegal officially began oil production in June at the Sangomar field, operated by the Australian energy company Woodside Energy. In addition to oil, the country also entered the natural gas market in December, sharing production with neighboring Mauritania along their maritime border

.While Senegal’s production levels remain far below those of major African oil producers like Nigeria, the new oil and gas ventures are expected to generate billions of dollars in revenue.

This economic boost could significantly accelerate the country’s development, supporting both exports and domestic energy consumption.

Source: African Diaspora International
Tuikatae CCM , ni kibaraka wa mabeberu
 
Kwa sababu ni kibaraka wa Marekani

Ukiwa na mafuta lazima uwe kibaraka wa NATO tofauti na hapo amani itakuwa ndogo sana
Sio kweli, Iran mbona sio kibaraka wa USA na kuna amani? Same to China mbona kuna amani na sio kibaraka wao?

Udhaifu wa uongozi tusibebeshee wazungu, hivi Tanzania mbona tuna kila kitu na kuna amani? Hakuna magaidi wala nini? Ila bado wazungu wanatuibia rasilimali kwa mikataba tu.

Hata DRC kukiwa na amani bado wataabiwa ti kwa mikataba mibovu maana udhaifu ni uongozi wa Afrika sio fitna za mzungu!!
 
Sio kweli, Iran mbona sio kibaraka wa USA na kuna amani? Same to China mbona kuna amani na sio kibaraka wao?

Udhaifu wa uongozi tusibebeshee wazungu, hivi Tanzania mbona tuna kila kitu na kuna amani? Hakuna magaidi wala nini? Ila bado wazungu wanatuibia rasilimali kwa mikataba tu.

Hata DRC kukiwa na amani bado wataabiwa ti kwa mikataba mibovu maana udhaifu ni uongozi wa Afrika sio fitna za mzungu!!

Sio kweli, Iran mbona sio kibaraka wa USA na kuna amani? Same to China mbona kuna amani na sio kibaraka wao?

Udhaifu wa uongozi tusibebeshee wazungu, hivi Tanzania mbona tuna kila kitu na kuna amani? Hakuna magaidi wala nini? Ila bado wazungu wanatuibia rasilimali kwa mikataba tu.

Hata DRC kukiwa na amani bado wataabiwa ti kwa mikataba mibovu maana udhaifu ni uongozi wa Afrika sio fitna za mzungu!!
Mkuu natamani kukuelewa lakini kila nikikumbuka yaliyomtokea Gaddafi nashindwa kukuelewa
 
Kuna haja yakuanza kuwaweka vijana kwenye mifumo bila kuangalia connection zao kwenye mifumo na undugu wa walipo kwenye mifumo.

Tunapaswa kufanya random selection ya kwa vijana wa kitanzania na kuwaweka kwenye mifumo, naamini huku mitaani wapo watu weeengi sana wenye akili na exposure yakuweza kuinasua hii nchi shida wengi wao mifumo sio rafiki kwao.

Naamini binafsi naweza kuwa Rais wa hii nchi na kuleta mabadiriko makubwa sana kwa muda mfupi japo NITAUA PIA WATU WENGI SANA WAPUMBAVU.
 
Sio kweli, Iran mbona sio kibaraka wa USA na kuna amani? Same to China mbona kuna amani na sio kibaraka wao?

Udhaifu wa uongozi tusibebeshee wazungu, hivi Tanzania mbona tuna kila kitu na kuna amani? Hakuna magaidi wala nini? Ila bado wazungu wanatuibia rasilimali kwa mikataba tu.

Hata DRC kukiwa na amani bado wataabiwa ti kwa mikataba mibovu maana udhaifu ni uongozi wa Afrika sio fitna za mzungu!!
Juz saudia kapewa bandar ya bagamoyo
 
Mkuu natamani kukuelewa lakini kila nikikumbuka yaliyomtokea Gaddafi nashindwa kukuelewa
Gadaffi alipigana vita kwani angepisha bila kurusha risasi kingeharibika nini? Mbona Morocco, Egypt, Algeria viongozi waliondolewa na uchumi haujaanguka?

Tuacheni kusingizia kila kitu wazungu, mbona Mugabe alichukiwa na wazungu ila alipisha bila kurusha risasi ndio maana nchi bado inatawalika ila Mugabe naye angeanza kutumia majeshi kupambana na mapinduzi leo Zimbabwe ingekua magofu na mngelaumu wazungu.
 
Gadaffi alipigana vita kwani angepisha bila kurusha risasi kingeharibika nini? Mbona Morocco, Egypt, Algeria viongozi waliondolewa na uchumi haujaanguka?

Tuacheni kusingizia kila kitu wazungu, mbona Mugabe alichukiwa na wazungu ila alipisha bila kurusha risasi ndio maana nchi bado inatawalika ila Mugabe naye angeanza kutumia majeshi kupambana na mapinduzi leo Zimbabwe ingekua magofu na mngelaumu wazungu.
Mkuu ulitaka Gaddafi atoke madarakani kiulaini tu bila ku
pinga?

Tofauti ya nchi hizo ulizozitaja na Libya ni raia wa nchi hizo walikuwa against watawala wao, na Walibya walikuwa wanampenda Gaddafi

Choko choko za Western ndio kisababishi cha kumtoa madarakani

Ukiwa tofauti na Western watakupinga kwa hari na mali
 
Sio kweli, Iran mbona sio kibaraka wa USA na kuna amani? Same to China mbona kuna amani na sio kibaraka wao?

Udhaifu wa uongozi tusibebeshee wazungu, hivi Tanzania mbona tuna kila kitu na kuna amani? Hakuna magaidi wala nini? Ila bado wazungu wanatuibia rasilimali kwa mikataba tu.

Hata DRC kukiwa na amani bado wataabiwa ti kwa mikataba mibovu maana udhaifu ni uongozi wa Afrika sio fitna za mzungu!!
Ubalikiwe sana umenipa shule hapa

Udhaifu wako siyo fitina za flan

Asante
 
Back
Top Bottom