Kufuatia ushindi wa TAIFA STARS dhidi ya UGANDA kwenye hii michuano ya kufuzu kombe la mataifa afrika,kumezua tafrani mikoani baada ya mkuu wa mkoa wa DAR kuahidi kuwa endapo TANZANIA tutaifunga UGANDA basi gambe litakuwa nusu bei,leo huku mikoani wadau roho inawauma sana kulipa bei mara mbili ya ile walioahidiwa wenzetu..sijui kwanini wakuu wa mikoa mingine walizubaa kwenye hili,tunaumia sana wallah!