Nina ndugu zangu huko Kenya wanamtania Kibaki, badala ya kutamka jina lake uzuri Mwai Kibaki, wao wanasema "Moi Kabaki". Na sikushangaa "profesa" Moi alipoamua kukigeuka chama chake cha KANU kilichomtunza madarakani miaka mingi, na kuamua majuzi kumfanyia kampeni Kibaki. Moi anataka iendelee kuwa "Moi Kabaki".
wewe MOI ni undisputable STRATEGIST leader in east africa...ana makusudi kumshauri uhuru asigombee ..anajua kuwa kwa kuwa kura za kenya zinapigwa kikanda na kwa kuwa kikuyu ndio jamii kubwa ..hakutaka wagawe kura kwa kibaki na kenyatta...akijua kwamba mwaka 2012 hakuna mwanasiasa atakayekuwa amekomaa na kuwa fresh kimawazo kumshinda kenyatta..
amemuunga kibaki mkono sasa ili kenyatta awe rais wa kenya mwaka 2012.
wewe MOI ni undisputable STRATEGIST leader in east africa...ana makusudi kumshauri uhuru asigombee ..anajua kuwa kwa kuwa kura za kenya zinapigwa kikanda na kwa kuwa kikuyu ndio jamii kubwa ..hakutaka wagawe kura kwa kibaki na kenyatta...akijua kwamba mwaka 2012 hakuna mwanasiasa atakayekuwa amekomaa na kuwa fresh kimawazo kumshinda kenyatta..
amemuunga kibaki mkono sasa ili kenyatta awe rais wa kenya mwaka 2012.
Watu wanasifia Moi mwizi. LOL. Ila mafisadi wabongo wanasakamwa. Waafrika bana. We need to make up our minds.
Mkuu tunasifia uwezo wake kisisasa, ambao hauhusini kabisa na wizi wake, Mrema naye at one time alikuwa na uwezo mkubwa kisiasa na tulimsifia, sio kwamba hatukujua kuwa na yeye ni FISADI au mwizi, no tulikuwa kama sasa tunasifia kipaji chake kisiasa, tatizo ni kwamba kina Karamagi hata vipaji vya siasa hawana, labda hapo ndipo unahitaji ku-make up your mind betweeen kipaji na ufisadi.
Ahsante Mkuu.
Siwezi kuwasifia hao.
Nyerere alikuwa mzuri kisiasa lakini sio fisadi.
As kuhusu siasa na ufisadi, sijaona mwanasisa wa kiafrika wa sasa hivi wa kumsifia. So, sihitaji kumake-up mind mkuu.
Mkuu heshima mbele, naona tunahitaji kukubali kutokubaliana, maana sio yote unayoaamini wewe na sisi wote ni lazima tuamini hivyo hivyo, inaonekana kuwa ndio tatizo hapa, anyways mimi ninaendelea kuheshimu vipaji vya viongozi wetu, maana kuna kina Sengor, waliokuwa wezi lakini walileta maendeleao kwa wananchi wao pia, Mwalimu hakuwa fisadi, lakini nafikiri unajua aliyotuachia!
Moi.... his strategic days are numbered. Raila is taking over this year. Kibaki is out and KANU is out.....l
Mkuu kweli unaaamini Moi, alitaka kuwaachia KANU uongozi? Ili the West waendelee kumsakama kuhusu hela zao? Wewe huoni kuwa ilikuwa ni strategy ya kuwaondoa the West mgongoni kwake na it worked, kwa kuwapa the so called "Upinzani", wewe kweli unaamini kuwa Saitoti anaweza kwenda against Moi!
Kwa nini Kibaki mpaka leo hajamfikisha Moi, kwenye sheria na wakatio ushahidi wote upo clear? Hivi unajua Moi bado anatesa tena hata kuliko Kibaki mwenyewe rais wa Kenya?, na hawezi fanya kitu chochote!
Mkuu Moi, ni sungura mjanja huyo, na ni wachache sana Afrika!
I think is not fair kucompare kati ya kibaki na JK. Both this presidents are facing different turmoil in their leaderships. JK anaface big corruption, lack of leadership, wrong strategic planners and many other problems. Wakati Mwai anaangushwa na mawaziri wake kwa corruptions.
So, hawa marais wawili wameonyesha weakness katika different parts of leaderships, but we cant compare the leadership plan.